🔴 🅻🅸🆅🅴 SIKU YA 2. MAKAMBI MAPS SDA CHURCH|| PR. ZACHARIA NYIRIIWA

Karibu uungane nasi katika ibada ya moja kwa moja ya Siku ya 2 kutoka Makambi MAPS SDA Church, ambapo Pr. Zacharia Nyiriiwa analeta ujumbe wa Neno la Mungu wenye kuimarisha imani, kuleta matumaini, na kumkaribisha kila mmoja karibu zaidi na Kristo. Tunaomba ujumbe huu ukubariki, ukuimarishe kiroho, na kukutia moyo kuendelea kumtumaini Mungu katika kila hali ya maisha Usisahau: 👍 Like 💬 Comment 🔔 Subscribe 📤 Share ili wengine nao wapate kubarikiwa. Mungu akubariki kwa kuungana nasi.