Bitchuka asema: Kuna kuimba, na kuzomea. Awasifia Shaban Dede na Muumin. Asema muimbaji ni lazima...
MUZIKI NA WANAMUZIKI inaendelea kutuletea habari za kazi iliyotukuka iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na mwanamuziki Mkongwe, Nguli na Mahiri kabisa nchini Tanzania Legendary na kipenzi cha wengi Hassan Rehani Bitchuka. Hapa Bitchuka a.k.a "Stereo" anatuelezea kuhusu nyimbo alizoimba akiwa na Bendi ya Mlimani Park Orchestra 'Sikinde Ngoma ya ukae'. Pia tunapata bahati ya kumsikia Bitchuka akitueleza kuhusu wanamuziki wenzake wa Sikinde walimchukuliaje na kwanini aliimbisha nyimbo nyingi sana pale Sikinde. Bitchuka anakiri kuwa katika wapiga Solo aliowahi kufanya nao kazi, Abel Baltazar analijuwa sana Gitaa na hakuwa mchoyo kuwaendeleza vijana. Hapa Bitchuka akiongea na "GUGO WA MUZIKI" Adam Zuberi, awamwagia sifa Shaban Dede na Muumin Mwimjuma. Anasema muimbaji ni lazima ukubali kufundishwa kwa sababu kuna kuimba na kuzomea, na anasema yeye yuko tayari kuwafundisha wale wataohitaji msaada wake. Ni matumaini ya channel hii ya MUZIKI NA WANAMUZI kuwa utaburudika vya kutosha pamoja na kuelimika vilivyo katika video hii. Kama utakuwa na swali, maoni, ushauri au hata ukosoaji, jisikie huru kutoa maoni yako ilimradi tu yasiwe ya matusi. Nasi tutajibu kadri tukavyoweza pale inapohitajika kujibu. Ili usipitwe na habari yoyote ile itakayotundikwa kwenye channel hii ya MUZIKI NA WANAMUZIKI, tafadhali click link ifuatayo ili uweze kuwa wa kwanza kujulishwa kuhusu habari mpya MUZIKI NA WANAMUZIKI / @muzikinawanamuziki Kwa habari zaidi za muziki wa Dansi: Fresh Jumbe YouTube / freshjmw Adam Zuberi Facebook https://www.facebook.com/profile.php?... Fresh Jumbe Facebook / akida.mtwana Website https://freshjumbe.com/

Julius Mzeru: Bendi ya Orchestra Mlimani Park ilikuwa ni Shule ya Muziki. Amueleza Adam Zuberi...

Juma Ubao - King Makusa: Tumeshasema sana, lakini ni kama tunampigia Mbuzi gitaa - Muziki siku hi...

GENZ TRUM AKATAA KUNUNULIWA NA SERIKALI

BICHUKA: MKONGWE wa BENDI ya SIKINDE Anayeshambuliwa na MARADHI, FAMILIA Waomba MSAADA..

Masoud Masoud a.k.a Manju wa Muziki akiwatambulisha kwa umahiri mkubwa wanamuziki wakongwe 2011.

Dr. Slaa Avunja Ukimya!Ziara ya Serikali Urusi na Ufa wa Kidiplomasia

LIVE: Bitchuka akiimba wimbo wa "Kelele za Paka" Jumamosi tarehe 05-Nov-2022 ndani ya Kisuma Pub

Orchestra Safari Sound 'Masantula ngoma ya mpwita' na wimbo wao 'Mwaka wa watoto'. Muziki na wanamu

UTAFURAHI BICHUKA AKIIMBA/ RAIS SAMIA/WANAWAKE WA ZAMANI SIYO WAZURI/MIAKA 60 YA UHURU

Ilikuwa ni Lifti (feat. Vijana Jazz Band)

Sikinde tulitumia gitaa la Kombora asema Julius Mzeru - Halafu ile bendi ilikuwa kama jeshi maana...

Mlimani Park on stage

MICHAEL ENOCH WA SIKINDE | HISTORIA YAKE | DDC MLIMANI PARK | KING | MNYAMA | ZILIPENDWA

Patrick Kamaley: Nilikwenda Bima Lee kwa kujiamini. Pia wimbo Mwanvua utunzi wake Gerry Nashon...

Mohammed Bakari Churchil - Mwana mapinduzi wa Rithm gitaa la Urafiki Jazz Band wana 'Chakachua'

Karama Regesu I Supu umeitia nazi I Official Audio

Juma Ubao "King Makusa" - Kipini cha dhahabu na mpunga wa kisele...

Lucy Bandawe Ottu Jazz Band

Wimbo wa Kipepeo. Umeimbwa na Marehemu, Shaban DEDE akiwa na bendi ya Bima Lee

