Simulizi ya Kusikitisha Ajali ya MV Bukoba

May 21 1996 Tanzania iliingia katika maombolezo makubwa kufuatia kuzama kwa meli ya MV Bukoba katika Ziwa Victoria wakati ikikaribia kufika bandari ya Mwanza. Makala hii inaangazia nini sababu na hali ilivyo miaka 24 baadae kama ilivyoandikwa na Remigius Mbowa na kusimuliwa Mbaroukh Khan