Familia zatoa saa 24 kwa serikali kuwaachilia vijana waliotekwa
Familia za vijana watatu wanaodaiwa kutekwa na maafisa wa usalama katika maeneo ya Mathare na Kiamaiko zimetoa makataa kwa serikali kuwaachilia wana wao ndani ya saa 24, la sivyo zitaandamana Jumanne. Familia ya mwanaharakati Davis Lichuma imesema kuwa aliondoka nyumbani kushiriki maandamano ya ukumbusho wa Gen Z kabla ya kudaiwa kuchukuliwa katikati ya jiji na watu wanaoshukiwa kuwa maafisa wa usalama. Familia nyingine mbili pia zimetaka majibu kuhusu kutoweka kwa vijana wao huku zikitaka hatua za haraka kuchukuliwa ili kuhakikisha wanapatikana salama.

▶︎
CITIZEN NIPASHE WIKENDI ~ JUNE 28, 2026

▶︎
Armed robbers storm Watamu Mall, target foreigner linked to Ksh. 79M fraud case

▶︎
Meet Prof. Aduol, the comedian who mimics Oburu Oginga

▶︎
Murkomen Asema Ruto Hana Mpinzani... Lakini Video ya WANTAM Yazua Maswali Makubwa

▶︎
TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

▶︎
BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

▶︎
Andrew Kibe Under Fire!: His Remarks on Stivo Simple Boy Sparks Outrage, Dr. Ofweneke Deletes Video!

▶︎
Family demands answers over missing Kiamaiko resident

▶︎
#iNooroTVLive

▶︎
Claire Ochieng azungumzia maisha baada ya kushambuliwa kwa asidi

▶︎
BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

▶︎
Jaribio la kutekwa kwa mwandishi wa Standard lazua hofu mpya kuhusu usalama wa wanahabari

▶︎
Families give police 24-hour ultimatum over missing activists

▶︎
Familia ya Abdul Aziz Duba yataka majibu kuhusu kutoweka kwake
![| SUNDAY LIVE | COMPENSATION IN NUMBERS [Part 1]](https://i.ytimg.com/vi/M6NrxYUGYVU/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBScCoViGJEttGMubD3lHirnn5qsA)
▶︎
| SUNDAY LIVE | COMPENSATION IN NUMBERS [Part 1]

▶︎
Opposition demands accountability over police brutality

▶︎
Uganda: Mwanawe rais Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba, afunga vituo vya Nation Media Group

▶︎
SHAMED: Wetangula's Own People Abandon Him For Sifuna. Bungoma BETRAYAL Exposed | Lee Makwiny

▶︎
| ULIZA DAKTARI | YOUNG AND POSITIVE

▶︎
