Jay Moe -Tukusa 3Vii (Official Audio )

Intro: This is grown man music.. It's Jay to the Moe.. And BBC once again yoh!! Chorus: Oooh yeaah!!... Nashkuru siku hizi nimekua Maisha yangu ya ujana kufuru, chizi nilikua Wazazi wanafurahi kuona, lately mnyamwezi nimepoa ...Siyo yule tena, cos life changes as you grow up! Verse 1: Huh!..Nashkuru nishavuka ujana, nimekuwa mtu nzima Maana maisha yangu ya ujana, ilikuwa zaidi ya noma Twende kilioni kwenye kichwa, au nywele nime chana Afro..nikiona picha, inanikumbusha enzi hizo bhana Mialiko ikulu, me sikuvaaga suti wala tai Ni mwendo wa kapelo, t-shirt kubwa, jeans kata k. Dar mpaka moro, dom, shy..me nachapa bae Chapa show, nijaze kibaba, nikale bata o'bey ...Na skosi kitu, kokote ukinikuta Washkaji wakiona sehemu nipo, wana uhakika hata puff watapata Kila siku ilikuwa ni bata..nyumbani hutonipata Nachenji viwanja, mchana msasani usiku tabata .....Hah! Nimemaliza ndo uzee unakuja ...Nimewekeza, ujana umekwisha, mzee sijachuja Ndo kwanza nawaza niwekeze arusha, mwanza au unguja Mambo ya kibogus, niliachaga, hayana tena hoja... Bridge: Siendi pub, siendi club, na nkitoka out.. It's only for a couple of hours, siwezi kaa hadi late.. There's no debate, man i been there, i done that Na ukizingatia, siku pia, haziwezi ganda!. Chorus: ... Nashkuru siku hizi nimekua Maisha yangu ya ujana kufuru, chizi nilikua Wazazi wanafurahi kuona, lately mnyamwezi nimepoa ...Siyo yule tena, cos life changes as you grow up! Oooh yeaah!!... Nashkuru siku hizi nimekua Maisha yangu ya ujana kufuru, chizi nilikua Wazazi wanafurahi kuona, lately mnyamwezi nimepoa ...Siyo yule tena, cos life changes as you grow up! Verse 2: Huh!..Kukaa maskani, bora nimekua, ilikuwaga sio Maana kila siku, na polisi, wananifukuza mbio Mara nimechora tattoo, mara nimetoga maskio Mradi tu, si unajua ujana? Ilikuwaga vilio Najua kusaka pesa, tangu niko dogo.. At 22, na profesa, on tour, uliza ludigo Mambo ya kukesha week nzima..na hakuna fatigue yoh Hakuna cha figo, nashkuru nimekua, nimeachana na hizo pigo Ndo maana sicheki, nkuona wamevaa cheni feki ...Inanikumbusha ujana, mbili tatu kwenye chest ukinicheck.. Nini sijafanya, enzi zangu niko junk.. Hamna pesa kwenye akaunti, ni starehe mchana neema, usiku Jackie ....Walizoea natoka kihuni Pata potea, nshakuwa mtu mzima, mwendo wa suti moca chini.. Zamani ndo nilifanya ubrotherman Siku hizi majukumu, unachowaza mchana nyumbani watakula nini.. Simuoni mjanja, uliye goma kuzeeka ..Ujana ushakwisha, huwezi force wazee wenzako watakucheka Maana kila kitu uenda na miaka Wenzako johari rotana, we maskani unavuta, haujabadilika!. Chorus: ... Nashkuru siku hizi nimekua Maisha yangu ya ujana kufuru, chizi nilikua Wazazi wanafurahi kuona, lately mnyamwezi nimepoa ...Siyo yule tena, cos life changes as you grow up! Oooh yeaah!!... Nashkuru siku hizi nimekua Maisha yangu ya ujana kufuru, chizi nilikua Wazazi wanafurahi kuona, lately mnyamwezi nimepoa ...Siyo yule tena, cos life changes as you grow up! Bridge: Siendi pub, siendi club, na nkitoka out.. It's only for a couple of hours, siwezi kaa hadi late.. There's no debate, man i been there, i done that Na ukizingatia, siku pia, haziwezi ganda! Siendi pub, siendi club, na nkitoka out.. It's only for a couple of hours, siwezi kaa hadi late.. There's no debate, man i been there, i done that Na ukizingatia, siku pia, haziwezi ganda! Outro: Ooh yeah!! Ooh yeah!! Ooh yeah!! Ooh yeah!! Superman... BBC once again...