Zitto: Wakimbizi Waliopewa Uraia Wana Haki Sawa Kama Raia Wengine

Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemtaka Rais Samia Suluhu kumuagiza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kuwaondoa wakuu wa makazi katika kambi za Katumba na Kanoge kwa kuwa wapo kinyume na sheria. Zitto amesema hayo akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika katika kata ya Ugalla iliyopo jimbo la Nsimbo mkoani Katavi. Kauli ya Kiongozi huyo imekuja baada ya chama cha ACT Wazalendo kuzuiwa kufanya mkutano wa hadhara katika kambi ya Kanoge wilaya ya Nsimbo, mkoani Katavi Agosti 3, 2024. Viongozi wa chama hicho wanadai waliandika barua kuomba kibali kwa jeshi la polisi ili kufanya mkutano katika kambi ya Kanoge, lakini walijibiwa na Mkuu wa Makazi wa kambi hiyo kuwa siasa hairuhusiwi eneo hilo. Kwa mujibu wa Zitto halmashauri ya wilaya Nsimbo ilipokea zaidi ya wakimbizi 200,000 mwaka 1972 kutoka Burundi waliopelekwa katika kambi za Katumba na Kanonge wilayani humo. Hata hivyo, mwaka 2008 hadi 2010 serikali iliamua kutoa uraia kwa wakimbizi 162,000 waliokubaliwa kuwa raia wa Tanzania #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #miezi10 #wanachamamilioni10

WAKIMBIZI ZAIDI YA LAKI 2 WAPEWA URAIA TANZANIA
▶︎

WAKIMBIZI ZAIDI YA LAKI 2 WAPEWA URAIA TANZANIA

TANZANIA YASITISHA KUTOA URAIA KWA WAKIMBIZI, "TUNATAKA KWENDA MAREKANI TU"
▶︎

TANZANIA YASITISHA KUTOA URAIA KWA WAKIMBIZI, "TUNATAKA KWENDA MAREKANI TU"

Iran Yatangaza Kuufunga Mlango wa Hormuz kwa Muda Usiojulikana, Yasema Meli zote Zitashambuliwa
▶︎

Iran Yatangaza Kuufunga Mlango wa Hormuz kwa Muda Usiojulikana, Yasema Meli zote Zitashambuliwa

"TUMEWAPA URAIA KWA HURUMA HAMRIDHIKI,MNAENEZA SIASA TUTAWANYANG'ANYA NA KUWAONDO" SIMBACHAWENE
▶︎

"TUMEWAPA URAIA KWA HURUMA HAMRIDHIKI,MNAENEZA SIASA TUTAWANYANG'ANYA NA KUWAONDO" SIMBACHAWENE

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA
▶︎

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

MAGUFULI - "WAKIMBIZI Ondokeni KWENU, Hatuwezi KUWAPA URAIA, Mnaua Watu WANGU"
▶︎

MAGUFULI - "WAKIMBIZI Ondokeni KWENU, Hatuwezi KUWAPA URAIA, Mnaua Watu WANGU"

URAIA PACHA TANZANIA
▶︎

URAIA PACHA TANZANIA

🔴 #live : HECHE MAZITO ANAFUNGUKA MUDA HUU
▶︎

🔴 #live : HECHE MAZITO ANAFUNGUKA MUDA HUU

TAZAMA LOVE YA ZITTO KABWE KWA WANANCHI BAADA YA KUMALIZA MKUTANO WAKE, "ULINZI HADI KWENYE GARI''
▶︎

TAZAMA LOVE YA ZITTO KABWE KWA WANANCHI BAADA YA KUMALIZA MKUTANO WAKE, "ULINZI HADI KWENYE GARI''

UKO BYIFASHE HIRYA NO HINO~#RIRARASHE
▶︎

UKO BYIFASHE HIRYA NO HINO~#RIRARASHE

Hadhi ya wakimbizi wa Burundi kujulikana ifikapo 2025
▶︎

Hadhi ya wakimbizi wa Burundi kujulikana ifikapo 2025

Tukio Wananchi kupigwa lamuibua DC,apiga marufuku//Aliyepigwa afunguka//DC atoa maagizo mazito.
▶︎

Tukio Wananchi kupigwa lamuibua DC,apiga marufuku//Aliyepigwa afunguka//DC atoa maagizo mazito.

"NILIAMBIWA MTOTO WA RAIS SAMIA ANAMILIKI SHELI, UKISTAAFU MALI ZOTE MNAZOPEWA ZITAYAYUKA" CHALAMILA
▶︎

"NILIAMBIWA MTOTO WA RAIS SAMIA ANAMILIKI SHELI, UKISTAAFU MALI ZOTE MNAZOPEWA ZITAYAYUKA" CHALAMILA

EMS Eletawi የፊልድ ማርሻሉ ዛቻዎች Wed 10 Jun 2026
▶︎

EMS Eletawi የፊልድ ማርሻሉ ዛቻዎች Wed 10 Jun 2026

RAIS SAMIA ALIVYOONDOKA NCHINI na KUTUA BURUNDI, APOKELEWA kwa SHANGWE...
▶︎

RAIS SAMIA ALIVYOONDOKA NCHINI na KUTUA BURUNDI, APOKELEWA kwa SHANGWE...

LET'S DISCUSS "Zitto Kabwe Opens in Mwanza"
▶︎

LET'S DISCUSS "Zitto Kabwe Opens in Mwanza"

Zitto: Kigoma Inahitaji Kiongozi Makini, CCM Wamewadharau "Nitarudisha Heshima"
▶︎

Zitto: Kigoma Inahitaji Kiongozi Makini, CCM Wamewadharau "Nitarudisha Heshima"

KATAVI: MAMBO YAMEIVA MWENGE WA UHURU WAANZA KAZI/MAPOKEZI/MRADI WA MAJI.
▶︎

KATAVI: MAMBO YAMEIVA MWENGE WA UHURU WAANZA KAZI/MAPOKEZI/MRADI WA MAJI.

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU |  ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.
▶︎

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

WARUNDI "HALI NGUMU NDIO INATUFANYA TUTOKE BURUNDI", UHAMIAJI TANZANIA WATOA TAMKO KALI
▶︎

WARUNDI "HALI NGUMU NDIO INATUFANYA TUTOKE BURUNDI", UHAMIAJI TANZANIA WATOA TAMKO KALI