Kanisa la viziwi Dar es Salaam: ibada, kila kitu kinaendeshwa na viziwi. Wanafanyaje?
Mwendo wa takribani dakika kumi na tano kuelekea kaskazini mwa kituo cha daladala cha Rozana, Buguruni, jijini Dar es Salaam, kuna nyumba ya ibada ambayo wakazi wengi wa jiji hilo wanaweza kuwa hawaifahamu. Nyumba hii ya ibada ni kanisa la viziwi na linaendeshwa kwa asilimia mia moja na viziwi wenyewe. Ibada zake zote huendeshwa kwa lugha ya alama na kuweka mtafsiri kwa ajili ya watu wanaosikia, kama wakiwepo kwenye ibada. The Chanzo imejumuika katika ibada na kuongea na waumini pamoja na viongozi wa kanisa hili, ungana nasi kufuatilia mengi kuhusu kanisa hili, linalojulikana kama kanisa la Immanuel

▶︎
RASTAFARI TUNAONEKANA KAMA RAIA DARAJA LA PILI, WAZUNGUMZIA TAMKO LA SERIKALI

▶︎
#MOROGORO# KANISA LA ASKOFU MKUU DR.REV.B.MTOKAMBALI

▶︎
VIJANA UJIKITA SANA KWENYE UIMBAJI LENGO LAO NI LIPI?

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
Finally Gichobi brothers comes out.we were not able to help our brother but God did

▶︎
MAFUNZO YA CHUO CHA MSATA BAGAMOYO ARMY TANZANIA KUKULU MACHENJA KIZAZI CHENYE MAKAZI MAGUMU 🔥🔥

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
Why Hydrofoil Boats Disappeared

▶︎
DAY 6: KONGAMANO LA ROHO MTAKATIFU || KITU GANI KITANITENGA NA UPENDO WA YESU || Mwl Agness Olomi

▶︎
The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

▶︎
Mch Jonathan Gondwe :KANISA KATIKA BONDE LA KUFANYA MAAMUZI

▶︎
The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

▶︎
432Hz - Fall Into Deep Sleep in 3 Minutes, Heal All Damage In The Body and Spirit, Relieve Stress #2

▶︎
Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass

▶︎
UTASHANGAA: VIZIWI WANAVYOFANYA IBADA KANISANI / WENGINE WAPOKEA KIPAIMARA

▶︎
Historia e vërtetë e Zvërnecit dhe kush nxit protestat! Flet akademiku Pëllumb Xhufi! | Shqip D.Hila

▶︎
#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

▶︎
The Man Asked If I Was Still Looking for My Son—Then He Said, “I’m the Kid in..." - Calm Dad Stories

▶︎
200 DIOS TE DICE HOY: ESCUCHA ESTO ANTES DE DORMIR, MI VOZ TE DARÁ PAZ Y DESCANSO

▶︎
