Full Video: Mbunge Msukuma alivyomvaa Mpina kuhusu basi lake, ataja samaki watatu kuliponza.
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku ‘Msukuma’ jana leo alianza kufukua makaburi kuhusu basi lake lililokamatwa kwa kosa la kuwa na samaki watatu akisema linaozea kituoni lakini anashangaa aliyehusika yeye analalamika. Msukuma ametoa kauli hiyo wakati akichangia katika hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara zilizochini yake ambapo amesema kuna watu huwa wanajisahaulisha wakisha kuwa nafasi za juu. Hata hivyo Spika wa bunge Dk Tulia Akson amekea kauli hiyo akisema siyo sehemu ya mjadala ulio mbele ya bunge na kumtaka mbunge kujielekeza kwenye hoja mahususi huku akimsihi kufuta kauli yake aliyosema message delivery (ujumbe umefika).

▶︎
MBUNGE MUSUKUMA AHOJI KIWANDA CHA CHALINZE SIMENTI, AMTAJA RIDHIWANI “HIZI DILI ZITATUMALIZA”

▶︎
WAKIRI NJERI MAINA KŨHINYIA CIA CIIRA WA RIGATHI GACHAGUA

▶︎
"Tumeamua, tutaziroga ngo'mbe mvimbe matumbo" - Musukuma

▶︎
Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Msukuma awavaa mawaziri aikataa taarifa ya Kunambi" hii ni aibu, madudu mengi"

▶︎
Brazil vs. Egypt | Full Game Highlights | ESPN FC

▶︎
ጠ/ሚ ዐቢይ (ዶ/ር) ከትግራይ ክልል የህብረተሰብ ተወካዮች ጋር ያደረጉት ውይይት

▶︎
BUNGE ZIMA LACHEKA🤣 MBUNGE MUSUKUMA AKICHANGIA kwa KINGEREZA - "YOU NEED TO BE VERY IGNORANT"...

▶︎
Musukuma: "Faini ya Bodaboda iwe Elfu 2 au Buku I Rais Samia Ametoa Milioni 500 Kila Jimbo"

▶︎
MBUNGE MUSUKUMA ,MKURUGENZI GEITA WAVUTANA MBELE YA WAZIRI BASHUNGWA

▶︎
"WAZIRI UNANISIKILIZA AU UNACHATI?, HUU NI UTAPELI" - MUSUKUMA AMVAA WAZIRI ULEGA BUNGENI

▶︎
MUSUKUMA NA KUNAMBI WAKUNJANA MASHATI BUNGENI, "NATAKA UWAZIRI, ACHA UJE TU! HAUMSAIDII RAIS

▶︎
MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...

▶︎
Chris Arreola (USA) vs Vitali Klitschko (Ukraine) | KNOCKOUT, BOXING fight, HD

▶︎
VURUGU BUNGENI MSUKUMA, MATIKO "JANABI AJIELEWE, ASHIKE BREKI, MAZIWA YAMELALA" POMBE KALI NI BALAA

▶︎
MSUKUMA AMVAA MAKONDA,VITA NZITO YAIBUKA BUNGENI ''KWANI MCHEZAJI FERDINAND NDIO NANI'' ?

▶︎
MUSUKUMA AMVAA ALIYEKUWA WAZIRI “NIMEKUSIKIA USIINGIE 18 ZANGU, MIMI NI BONDIA SITAKI KUPAMBANA"

▶︎
Msukuma alipuka "Alikuwa Mpina hapo..Huu ni utapeli unataka kutuingiza, Unatakiwa kuwa mjinga sana"

▶︎
MWIGULU NA MPINA VITA BADO MBICHI, WARARUANA TENA BUNGENI, SPIKA ANGILIA "TUHUMA NZITO HIZO"

▶︎
