MAGUFULI ALIPOKATAA KUIPOKEA BARABARA YA KILWA (KM 5.1)
UJENZI wa Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam ambayo Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli alikataa kuipokea mwaka 2011, baada ya kujengwa chini ya kiwango. Ujenzi wa kipande hicho cha kilomita 5.1 kutoka Mtongani hadi Mbagala Rangi Tatu, ulikamilika mwaka 2012. Mafundi wa Kampuni ya Kajima ndio waliokuwa wakijenga kipande hicho cha barabara . Magufuli alikataa kuipokea barabara hiyo kutoka katika Serikali ya Japan, iliyotoa msaada wa fedha na ujenzi kufanywa na Kampuni ya Kajima, baada ya kujiridhisha kuwa ilijengwa chini ya kiwango. Magufuli alimweleza Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada kwamba asingeipokea barabara iliyo chini ya kiwango hata kama imetolewa kama msaada kwa Tanzania. Baada ya msimamo huo wa Serikali, Japan ilifanya uchunguzi na kubaini kuwa kampuni hiyo ilijenga barabara hiyo chini ya kiwango. Kutokana na hali hiyo, Balozi Okada aliahidi kurudia ujenzi wa kilometa 5.1 kipande ambacho waligundua kuwa kampuni hiyo ilijenga chini ya kiwango. Baada ya kauli hiyo ya Balozi, Dk Magufuli alimtaka mkandarasi huyo kuondoa tabaka la lami na kuweka tabaka jingine gumu lenye sentimita saba jambo ambalo limetekelezwa baada ya marudio.Ujenzi wa Barabara ya Kilwa yenye urefu wa kilomita 13.5 kutoka bandarini hadi Mbagala Rangitatu ulizinduliwa kwa kuwekwa jiwe la msingi na Rais Jakaya Kikwete mwaka 2007.

HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

Hotuba ya Magufuli siku ya kwanza ya Kampeni.

Magufuli - 2005, tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami

Rais Magufuli tena kuhusu sakata la dawa za kulevya, agizo jipya kuhusu Watanzania waliofungwa nje

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

DR. MAGUFULI AKIFAFANUA KUHUSU HIFADHI YA BARABARA

HOTUBA YA RAIS DKT JOHN MAGUFULI AKIZINDUA STENDI YA MABASI MBEZI DAR ES SALAAM

DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM I

DAAH! MAGUFULI KAONGEA KWA UCHUNGU - "SIWAFUKUZI ILA ONDOKENI, MNAWAUA WANANCHI WANGU"

"Kaka Yako Alitumwa Kupiga Ikulu, Angefia Hapa Hapa" - RAIS MAGUFULI | Ikulu DSM

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

WAZIRI KAMWELWE AKIRI MAKOSA MBELE YA RAIS MAGUFULI

'WE ULISIKIA WAPI MP' BWEGE LASHED BY PRESIDENT MAGUFULI FOR BEING A NON PERFORMER!!!

Uvuvi haramu Kanda ya Ziwa 'wamchefua' Rais Magufuli, amkingia kifua Waziri Mpina

Mhe Magufuli, Kudorora kwa Ujenzi | TBC

MAGUFULI ATUMBUA JIPU MBELE YA WANANCHI

Historia Ya Magufuli Kazini

Orijino komedi na mtu mzito.

Raisi Kikwete Amtaja Mhusika wa Richmond na Sakata Zima

