WAKE WATATU WA MAREHEMU SAULI WAFUNGUKA WALIVYOKUWA WAKIISHI NAE "ALIKUA ANATUPENDA SANA"
Hapa ni katika Kijiji Cha Kibaoni wilayani Chunya mkoani Mbeya ambapo ni nyumbani kwa mfanyashara maarufu wa Madini na Mmiliki wa mabasi ya Sauli ambaye sasa ni marehemu Sauli Solomoni Mwahabhila. Marehemu Sauli alifariki Agosti 4 mwaka huu mkoani Pwani kwa ajali ya gari na kuzikwa Katika makaburi ya familia Kijiji Cha Godima huku mtoto wake wa miaka 3 akinusurika katika ajali hiyo. Ayo tv na Millardayo.com imefika Hadi katika Kijiji hicho alipokuwa akiishi marehemu na kuzungumza na wake Watatu wa marehemu wamesema marehemu alikua na Wake wanne na mmoja alifariki hivyo wamebaki Watatu na watoto 16.

▶︎
USIYOYAJUA KUHUSU MAREHEMU SAULI, AACHA WATOTO 16 NA WAKE WATATU, NDUGU WAFUNGUKA MAISHA YAKE

▶︎
VIDEO: TAZAMA MAZISHI YA MMILIKI WA MABASI YA SAULI HUKO KIJIJINI KWAO GODIMA, FAMILIA YAMLILIA

▶︎
Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

▶︎
MAPYA KIFO CHA ASHLEY ALIYEFIA ZANZIBAR, MPENZI WAKE AFUNGUKA, AONESHA SMS

▶︎
WASIFU wa DC ESTER UKISOMWA - BILIONEA MULOKOZI AIBUKA SHUJAA kwa JINSI ALIVYOMPAMBANIA AKIWA HAI..

▶︎
PADRI ASIMULIA MAREHEMU BILIONEA MATHIAS MANGA ALIVYOIMBA KWA MARA YA MWISHO SIKU YA MSIBA

▶︎
ALIYEKUWA RPC TABORA ALILIWA MOROGORO, HUU NI WASIFU WAKE

▶︎
MAKONDA AWASHANGAZA WABUNGE, AWAWEKA MKAO WA AFCON “KAMA HAMTAKI PESA BASI JIANDAE KUOA KIAFCON“

▶︎
WAFUNGWA 173 GEREZA KUU ARUSHA WAHITIMU WAKIWA GEREZANI ALIYEACHIWA APEWA MIL 2 ZIKAMSAIDIE BIASHARA

▶︎
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?

▶︎
He killed his employers, Reported them Missing and Joined the Search Party | Murder Tapes SN3 EP4

▶︎
HUZUNI: NDUGU WAWILI WAPOTEA, WALICHUKULIWA NA GARI MBILI “ALIJIFANYA USALAMA KUMBE MGANGA”

▶︎
BODABODA ARUSHA AUAWA, MWILI WATUPWA NA PIKIPIKI KUIBWA, INADAIWA MWANAMKE ALIMCHUKUA KIJIWENI

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUY IN THE GYM. HE Didn’t Expect THAT

▶︎
TAHARUKI: MAMA ANASA CHOO CHA WAFANYABIASHARA NJOMBE, ASEMA "NILIKUJA MATEMBEZI"

▶︎
UTATA: DAUDI ADAI KUIBIWA MILIONI 62, ALIPAKI GARI KUNUNUA KEKI, WAZEE WA KIMILA WATOA SIKU NNE”

▶︎
MOTO AMBAO CHANZO HAKIJULIKANI UMETEKETEZA NYUMBA NA MASHAMBA, WANANCHI WAOMBA SERIKALI KUINGILIA

▶︎
GAMBO AVUNJA UKIMYA "MIAKA MITANO IJAYO MTAPIMA" ATOA MILIONI 10

▶︎
MAKANDARASI WAIOMBA SERIKALI KUWAPUNGUZIA MAGUMU YA MAFUTA

▶︎
