Gari la Mbunge Ludewa lazuiliwa na Wananchi, wampa makavu /tutajua Mbunge mwongo -
Wakazi wa kijiji cha Lusitu kilichopo kata ya Madope wilayani Ludewa mkoani Njombe wamezuia gari la Mbunge wa Ludewa kuendelea na ziara ,wakati akipita kijiji kwao, wakitaka kupewa ufafanuzi kuhusu maombi yao ya 2020 ya kufungiwa huduma ya umeme,maji na afya ambazo zimekuwa kikwazo kwa maendeleo ya jamii zao kwa muda mrefu. Kijiji cha Lusitu kilichopo mpakani mwa wilaya ya Njombe na Ludewa kimekuwa kwenye changamoto ya huduma hizo tangu uhuru,hali ambayo ikalisukuma kanisa la Roman Catholic kwa kushirikiana na umoja wa ulaya kujenga mradi wa umeme unautumia maji na kisha kuunganisha katika kata 6 za wilaya ya Ludewa ili kuwaondoa gizani jitihada ambazo hazijafanikiwa ipasavyo hadi sasa kwa kuwa umeme hauna nguvu na unamgao uliyopindukia.

▶︎
MBUNGE KAMONGA ATAJA KATA ZA LUDEWA AMBAZO WANANCHI HAWAJAWAHI KUONA GARI

▶︎
MUNDINDI WANAKIJIJI WANALIPIWA BIMA YA AFYA, HIKI NI KIJIJI CHA MFANO WA UTAWALA BORA.

▶︎
DC LUDEWA ASHIRIKI MAZISHI ya WALIOPIGWA na RADI - AWATAKA WANANCHI KUTOHUSISHA VIFO na IMANI POTOFU

▶︎
TAZAMA: WANANCHI WAMLALAMIKIA MTENDAJI WA KIJIJI,,/MBUNGE AMPIGIA SIMU MKURUGENZI HATUA ZICHUKULIWE.

▶︎
Wananchi Mbarali Wafunguka Sakata la Kufukuzwa Eneo la Hifadhi ya Taifa Ruaha

▶︎
Ludewa ya Utalii

▶︎
MCHINA AJIBU MASWALI YA MADIWANI LUDEWA KWA KISWAHILI, AOMBA KUSAIDIWA, MBUNGE ATIA NENO

▶︎
HALI MBAYA! MADARASA YA SHULE YA WECHA LUDEWA, TASAF WATOA MAMILIONI KUNUSURU

▶︎
MBUNGE KAMONGA AHOJI BUNGENI “KWANINI AHADI YA RAIS SAMIA IMEONDOLEWA?”

▶︎
WANANCHI KATA YA MLANGALI WILAYANI LUDEWA PONGEZA TARURA UJENZI WA BARABARA

▶︎
MTOTO "AFUFUKA" GEITA, AKATWA ULIMI.

▶︎
WAKULIMA LUDEWA WAHAMASIKA KUUZA MAHINDI NFRA

▶︎
JAMAA ANAYEYAYUSHA CHUMA, HAJUI KUSOMA WALA KUANDIKA, AMEAJIRI WATU, AIOMBA SERIKALI IMPELEKE CHINA

▶︎
MBUNGE AWEKWA KITIMOTO NA WANANCHI, BARABARA YA MBEYA KUMUONDOA, WATAJA SABABU KUMTOA ALIYEPITA

▶︎
Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

▶︎
ALBAMU YA NGOMA ZA ASILI NJOMBE LUDEWA MLANGALI- KIJIJI CHA LIGUMBIRO

▶︎
RC MTAKA AWAJIA JUU ACT MKOA WA NJOMBE AWATAKA KUACHA UPOTOSHAJI MITANDAONI KUHUSU MIGODI LUDEWA

▶︎
LUDEWA YAZIDI KUPAA CHINI YA MBUNGE KAMONGA, MIRADI HAIPOI, IKULU NDOGO, BUNGENI HAKAI KIMYA

▶︎
LUDEWA YA UTALII

▶︎
