UHABA WA MABWENI ATHARI KWA MABINITI UKEREWE

Jamii ya Ukerewe inajua fika kwamba uhaba wa Mabweni katika shule nyingi za sekondari ndicho chanzo cha mabinti wilayani humo kama ilivyo kwa sehemu nyingine nyingi nchini Tanzania kupata ujauzito. Lakini changamoto ni kwamba hawako tayari kuchangia vyakula kwa ajili ya mabinti zao waishi shule.