TANROADS: ULINZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA NI JUKUMU LA KILA MWANANCHI
📌 Kamera Kufungwa Kudhibiti Uharibifu Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Kigoma imetoa rai kwa wananchi wanaoishi pembezoni mwa miundombinu ya barabara kushiriki kikamilifu katika kulinda na kutunza miundombinu hiyo ili iweze kudumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwa salama kwa watumiaji. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Elsony Mweladzi, ambaye amesema kuwa mkoa huo una jumla ya madaraja 396, yakiwemo madaraja makubwa matano ambayo yote yako katika hali nzuri na salama kwa matumizi ya wananchi. Mhandisi Mweladzi amesema ni muhimu wananchi kutunza na kulinda uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika miundombinu ya barabara na madaraja ili kuepusha hasara zinazoweza kujitokeza kutokana na vitendo vya uharibifu.

MABORESHO YA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA YAFIKIA ASILIMIA 60

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

SARA Board speaks on SGR

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN

Prz John Mahama happily arrive to cut sod for multimillion dollar Sentuo Oil Refinery Phase 2project

The New Face of Nyerere Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees

Senegal – Irak Highlights | Gruppe I, FIFA WM 2026 | sportstudio

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

WAZIRI MKUU AAGIZA TANROADS KUMPATA MKANDARASI BARABARA YA NYOLOLO - MTWANGO

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

EXCLUSIVE INTEL: The Strategic Reason Gachagua Told His Supporters to Skip the Gen Z Protests

تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام

ROUTES, PORTS, MÉTRO, GRAND INGA : LES GRANDS TRAVAUX DE LA RDC

Ethiopia is About to Explode.

Kap Verde – Saudi-Arabien Highlights | Gruppe H, FIFA WM 2026 | sportstudio

ULEGA ATANGAZA MSHINDI ‘FOLENI CHALLENGE”

