Balaa! WATU 23 WANASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA MAKOSA YA JINAI JIJINI MWANZA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata na linaendelea kuwahoji watu 23 kwa tuhuma za makosa ya uchochezi na kupanga njama za kufanya vurugu na uhalifu mwingine katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Mwanza kwenye madhimisho ya Sabasaba. Watuhumiwa waliokamatwa ni: - 1. Deus Elias Masalago, miaka 41, mwalimu, mkazi wa mtaa wa Gedeli, wilaya ya Ilemela. 2. Mohamed Said Tosha, miaka 37, fundi ujenzi, mkazi wa mtaa wa Nyakato, wilaya ya Namagana. 3. Samwel Ngaji Kobeli, miaka 38, mfanyabiashara, mkazi wa mtaa wa Kilimo A, Igoma wilaya ya Nyamagana. 4. Samwel Kanyege Mtani, mwenye umri wa miaka 55, mvuvi, mkazi wa mtaa wa Mtakuja, Igoma, wilaya ya Namagana. 5. Fabian Benard Nguvumali, miaka 52, fundi cherehani, mkazi wa mtaa wa Mtakuja, Igoma, wilaya ya Namagana. 6. Philipo Juma Kulwa, miaka 37, mkulima, mkazi wa mtaa wa Mtakuja, Igoma, wilaya ya Namagana. 7. Fanuel John Lutema, miaka 35, mwinjilisti, mkazi wa mtaa wa Dr. Sheni, Igoma, wilaya ya Namagana. 8. Hamis Masanja Mwinyinuma, miaka 35, mkulima, mkazi wa mtaa wa Igoma, wilaya ya Namagana. 9. Julius Mwita Makonga, miaka 34, mfanyabiashara, mkazi wa mtaa wa Ndofe, Igoma, wilaya ya Namagana. 10.Philipo Ntembeji Chipuluko, miaka 38, fundi ujenzi na pia ni shemasi wa Kanisa la EAGT, mkazi wa Mtaa wa Igoma Mashariki, wilaya ya Namagana. 11.Abdul Amani Kagiwidi, miaka 27, kinyozi, mkazi wa mtaa wa Mahango, Wilaya ya Nyamagana. 12.Hassan Mohamed Said, miaka 43, dereva bodaboda, mkazi wa Pansiasi, wilya ya Ilemela. 13.Alphaxad Bundala Nyamwafia, miaka 57, fundi seremala, mkazi wa Bwiru, Wilaya ya Ilemela. 14.Abel Maruta Mwesa, miaka 62, mkazi wa mtaa wa Nyambiti, Wilaya ya Ilemela. 15.Emmanuel Anthony Wambura, miaka 32, dereva, mkazi wa mtaa wa Big Bite, Wilaya ya Ilemela. 16.Adamu Robert Idd, miaka 23, mchimbaji, mkazi wa mtaa wa Gana, Wilaya ya Ilemela. 17.Philipo Masatu Maingu, miaka 31, mjasiriamali, mkazi wa mtaa wa Gana. 18.Damas Bebwa Sadoki, miaka 31, mkazi wa mtaa wa Gana, Wilaya ya Ilemela. 19.Edward Peter Mikindo, miaka 28, fundi umeme, mkazi wa mtaa wa Kiloleli, Wilaya ya Ilemela. 20.Fantson Wilison Mpango, miaka 49, Mwenyekiti wa mtaa wa Ibungilo A, Wilaya ya Ilemela. 21.David Mashaka Mahendeka, miaka 31, mkazi wa Kawekamo, Wilaya ya Ilemela. 22.Emmanuel Joseph Wangenyi, miaka 25, msaidizi wa fundi ujenzi, mkazi wa Nyamong'holo, Wilaya ya Ilemela. 23.Petro Mathias Mabula, miaka 40, dereva, mkazi wa mtaa wa Busenga, Wilaya ya Ilemela. Watuhumiwa hawa wamekamatwa kati ya tarehe 05.07.2026 na 07.07.2026 kupitia doria zinazoendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Mwanza. Jeshi la Polisi linaendelea na taratibu za kisheria, ikiwemo mahojiano ya kina na taratibu zitakapokamilika, watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili. Aidha, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linapenda kuwatoa hofu wananchi wote kuwa hali ya usalama ni shwari. Jeshi litaendelea kufanya doria mitaani, zikiwemo doria za miguu na doria za magari ili kuhakikisha wananchi wanaendelea na shuhgulii zao kwa amani. Aidha, tunatoa wito kwa wananchi kuendelea kudumisha amani, kutii sheria za nchi na kutoa ushirikiano kwa kufichua watu wachache wenye nia ya kuvuruga amani na utulivu uliopo. #votupdates

TAHARUKI, WATU ZAIDI YA 30 WAPANGISHWA CHUMBA KIMOJA NYAKATI TOFAUTI, MWENYE NYUMBA AKIMBIA NA PESA

“TUTAWASHUGHULIKIA WAANDAMANAJI, MWENYE USHAHIDI WA WATEKAJI ANILETEE” - WAZIRI KATAMBI

TAZAMA MAANDAMANO YA SABA SABA TANZANIA NA KENYA YALIVODHIBITIWA VIKALI NA POLISI

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

ALIKIBA ALICHEKA PAREDI LA YANGA AIPONGEZA SIMBA KUBEBA MAKOMBE MAWILI MSIMU HUU \ SAMAKIBA YA MOTO.

Top Brilliant Recycling and Manufacturing Mass Production Factory Process Videos

WANAOSAMBAZA VIPEPERUSHI KUHAMASISHA VURUGU MWANZA WASAKWA

🔴#BREAKING: KAMANDA MULIRO ATOA TAMKO ZITO KUHUSU USALAMA - POLISI WALIOMWAGWA BARABARANI...

OL KALOU BY ELECTION: Ruto BRIBES Residents with gas cylindes electricity |Plug Tv Kenya

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

KIMEUMANA! Gachagua risks arrest after exposing how Ruto k!lled GEN Z in State House!

Biashara zafungwa, usalama waimarishwa Tanzania na Kenya zikiadhimisha 7/7. Katika Dira ya Dunia TV.

They Stole His Life, His Family, and His Future — Now He Has One Last Night for Revenge

"South Africa My Foot" We Must Take Action Now - Sen. Nigi, Oshiomole Challenge Akpabio

PROFESSOR KITILA MKUMBO CALLS FOR A NEW CONSTITUTION | CLAIMS THE CURRENT ONE IS FOR A SINGLE-PAR...

Ol Kalou By‑Election:Ruto is TERRIFIED of Losing Mount Kenya forced to bribe people for votes

HABARI KUBWA JIONI HII KUTOKA TANZANIA...

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Dunia Yetu | Leo Mchana | 08.07.2026 | Swahili News

She has been beating me up for four years and has thrown me into an emotional pit | Tuko TV

