Salama Na DR MWAKA Ep 37 | BINGWA Part 1

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ ‪ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack ‪YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Sikuwahi kukutana na Dr Mwaka mimi kabla ya tarehe 26 ya mwezi wa tisa, ila nilishawahi kuongea nae kwa simu mara mbili kabla ya kukutana, hatukuwa marafiki ila maongezi yetu ya mara ya kwanza kwenye simu yalinifanya nijue kwa kiasi yeye ni mtu wa aina gani, na nilivyokutana nae pia iliongeza heshima yangu kwake kwa kazi anayofanya na aina ya mtu yeye alivyo. Nisiseme kwa kupepesa, alini impress na nilijifunza vitu kadhaa kwa muda mchache niliokaa naye na kuongea nae. Alikuja na mkewe kwenye set ya kipindi na alihakikisha mkewe anafika mpaka kwenye ‘kizuizi’ cha mwisho kabisa kabla ya kufika kwenye meza ya mahojiano na pia alihakikisha macho yake na ya mkewe yanagongana kila anakapopenda kufanya hivyo. Wakati mwengine watu hufanya mambo kwaajili ya camera ili wapate kuongelewa, ila kwa wanaopendana kila kitu huwa kinakua wazi, jinsi wanavyoongea, wanavyocheka, wanavyoangaliana na mengineyo imenipa sababu ya mimi kukubali kwamba wawili hawa ni wanapendana kweli. Na tukumbuke kwamba huyo si mke pekee wa Dr JJ Mwaka kama sote tunavyofahamu, ila hakuna ubishi kwamba yeye pia ni mke wake pendwa kabisa. Maongezi yetu yalianzia kwenye asili yake kama kawaida, na aina ya maisha anayoishi sasa. Kama ni kipaji au alienda shuleni kusoma haya anayoyafanya, na suala la yeye kuwa Daktari Bingwa wa nguvu za kiume na mambo ya uzazi wa kina Mama, na kama hizo tu ndo tiba yeye hufanya. Alinza lini? Alirithishwa? Na je wakati mwengine maneno watu wanasema juu yake yanamkera au yanampa motisha ya kufanya zaidi? Unaikumbuka ile skendo ya kutaka kufungiwa ofisi? Aliimalizaje? Na chimbuko lake haswa hiyo story ni wapi? Ilikuaje akachomoka humo? Na Kuna khadithi na mahusiano yake na wake zake? Hana mmoja mwenzangu. Anawezaje kukaa na wote? Alishapitia ndoa ngapi? Je kasomea taaluma yake hii? Biashara ina faida? Je kuhusu skendo ya kutumia magonjwa ya wanawake na kujipatia wake ni kweli? Kusema za ukweli tumeongea sana, na nimejifunza sana kupitia mazungumzo haya na kama ilivyo ada natumai na wewe utaokota mawili matatu na pengine kupata idea ya ajira na kujikwamua kwa hapa na pale. Dr Mwaka pia ni mtu anayependa watu wengine waendelee na aliniambia kama kwa yeye kuja kwenye kipindi kutasaidia hata kwa theluthi tu na kufanya vijana na wengine wajiongeze basi angependa kuja na alifanya hivyo, kwa hilo namshkuru sana. Tafadhali enjoy rafiki. Love, Salama. Soundtrack Yeah by @MarcoChali    • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown  

Salama Na DR MWAKA Ep 37 | BINGWA Part 2
▶︎

Salama Na DR MWAKA Ep 37 | BINGWA Part 2

Can witchcraft affect you if you don’t believe in it? || Dr. Mwaka Episode 2
▶︎

Can witchcraft affect you if you don’t believe in it? || Dr. Mwaka Episode 2

Chai Moto ya UK 🫢 Mother Hen is Baack 🔥🥰
▶︎

Chai Moto ya UK 🫢 Mother Hen is Baack 🔥🥰

NYWILA (3) ZA MAFANIKIO HALISI ZA DR. J.J MWAKA
▶︎

NYWILA (3) ZA MAFANIKIO HALISI ZA DR. J.J MWAKA

WOMEN MATTERS: WANAUME TUNA UWEZO WA KUPENDA WANAWAKE HATA 300/ KUFIKA NI SEKUNDE SITA TU.
▶︎

WOMEN MATTERS: WANAUME TUNA UWEZO WA KUPENDA WANAWAKE HATA 300/ KUFIKA NI SEKUNDE SITA TU.

MR BLUE AFUNGUKA HARMONIZE NA DIAMOND KURUDIA NYIMBO ZAKE// KUWA MSANII MWENYE KORABO NYINGI ZAIDI
▶︎

MR BLUE AFUNGUKA HARMONIZE NA DIAMOND KURUDIA NYIMBO ZAKE// KUWA MSANII MWENYE KORABO NYINGI ZAIDI

𝖤𝖯𝖨𝖲𝖮𝖣𝖤 2:  𝖯𝖠𝖱𝖳 1 || 𝖨𝖩𝖴𝖤 𝖧𝖨𝖲𝖳𝖮𝖱𝖨𝖠 𝖸𝖠 𝖠𝖫𝖧𝖠𝖩𝖩 𝖣𝖱. 𝖲𝖴𝖫𝖫𝖤 || 𝖪𝖴𝖹𝖠𝖫𝖨𝖶𝖠 𝖤𝖫𝖨𝖬𝖴 𝖭𝖠 𝖪𝖠𝖹𝖨 𝖹𝖠𝖪𝖤 𝖹𝖠 𝖴𝖧𝖠𝖣𝖧𝖨𝖱𝖨
▶︎

𝖤𝖯𝖨𝖲𝖮𝖣𝖤 2: 𝖯𝖠𝖱𝖳 1 || 𝖨𝖩𝖴𝖤 𝖧𝖨𝖲𝖳𝖮𝖱𝖨𝖠 𝖸𝖠 𝖠𝖫𝖧𝖠𝖩𝖩 𝖣𝖱. 𝖲𝖴𝖫𝖫𝖤 || 𝖪𝖴𝖹𝖠𝖫𝖨𝖶𝖠 𝖤𝖫𝖨𝖬𝖴 𝖭𝖠 𝖪𝖠𝖹𝖨 𝖹𝖠𝖪𝖤 𝖹𝖠 𝖴𝖧𝖠𝖣𝖧𝖨𝖱𝖨

Dr.Mwaka delves into the roots of witchcraft in families,African spirituality & rising divorce rates
▶︎

Dr.Mwaka delves into the roots of witchcraft in families,African spirituality & rising divorce rates

Haikuwa rahisi Dr Mwaka kufanikiwa, safari yake itakushangaza, hautokata tamaa tena | CHIMBO
▶︎

Haikuwa rahisi Dr Mwaka kufanikiwa, safari yake itakushangaza, hautokata tamaa tena | CHIMBO

WOMAN MATTERS: HIVI MWANAMKE AKIWA NA TUMBO KUBWA HUMPUNGUZIA CONFIDENCE/ KUJIAMINI? NINI KIFANYIKE?
▶︎

WOMAN MATTERS: HIVI MWANAMKE AKIWA NA TUMBO KUBWA HUMPUNGUZIA CONFIDENCE/ KUJIAMINI? NINI KIFANYIKE?

Dr Slaa Afunguka Kuhusu Maseneta wa Marekani na Tanzania
▶︎

Dr Slaa Afunguka Kuhusu Maseneta wa Marekani na Tanzania

What people with money never tell you || Gor Semelang'o
▶︎

What people with money never tell you || Gor Semelang'o

🔞ZIJUE SILAHA za KUMDHIBITI MWANAUME, DKT MWAKA AFICHUA ANACHOFANYIWA na MKEWE | KATIKATI ya KOKO❤️
▶︎

🔞ZIJUE SILAHA za KUMDHIBITI MWANAUME, DKT MWAKA AFICHUA ANACHOFANYIWA na MKEWE | KATIKATI ya KOKO❤️

OBINNA SHOW LIVE: DARK SECRETS OF WEALTH, MARRIAGE & BETRAYAL- Dr. Mwaka
▶︎

OBINNA SHOW LIVE: DARK SECRETS OF WEALTH, MARRIAGE & BETRAYAL- Dr. Mwaka

Salama Na HAJI Ep 52 | ALIYE KUTWIKA NDIYE ATAKAYE KUTUA PART 1
▶︎

Salama Na HAJI Ep 52 | ALIYE KUTWIKA NDIYE ATAKAYE KUTUA PART 1

Women Matters (4): Mwanamke aliyeolewa KUTONGOZWA hovyo ni ishara kuwa wanaume wanamuona ni MRAHISI
▶︎

Women Matters (4): Mwanamke aliyeolewa KUTONGOZWA hovyo ni ishara kuwa wanaume wanamuona ni MRAHISI

🔴TAZAMA DR.MWAKA ALIVYOMTOLEA UVIVU MTANGAZAJI, "WANAWAKE MNAPENDA KUDANGANYWA | WANAWAKE WAANDAMANA
▶︎

🔴TAZAMA DR.MWAKA ALIVYOMTOLEA UVIVU MTANGAZAJI, "WANAWAKE MNAPENDA KUDANGANYWA | WANAWAKE WAANDAMANA

Mkasi | S13E03 with Master Jay Extended Version
▶︎

Mkasi | S13E03 with Master Jay Extended Version

Link between cash and witchcraft || Bamboo
▶︎

Link between cash and witchcraft || Bamboo

Veteran Journalist Carol on marrying a witchdoctor and how she was initiated into the evil  world
▶︎

Veteran Journalist Carol on marrying a witchdoctor and how she was initiated into the evil world