JPM: - “Kama kuna baba zao wanawatuma, watakwenda kuwasimulia vizuri”
Rais John Magufuli amepiga marufuku maandamano yoyote yasiyo halali yenye lengo la kupinga jitihada za serikali na kusema watakaokaidi agizo hilo, vyombo vya dola vimejipanga kukabiliana nao ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria. Rais Magufuli ameyasema hayo leo, wakati wa uzinduzi wa Tawi la Benki ya CRDB huko Chato ambapo pia amewataka Watanzania kuchukia na kuwapuuza watu wanaohamasisha maandamano yasiyokuwa na tija kwa jamii na taifa kwa jumla. Amesema iwapo kuna wanaotaka kuandamana basi wajiandae kujuta ama wasubiri muda wake wa kuwa madarakani uishe. Aidha Rais Magufuli pia amesihi Watanzania kuanza kujifunza kuwa wazalendo wa nchi yao kwa kupinga viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani huku akiwataka viongozi wa dini kutotumia nyumba za Ibada kufanya uchochezi wa kisiasa.

Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!

"RPC UMLIPE HUYU MAMA MILIONI 15 - HUYO GADDAFI YUKO WAPI KWANI? - JPM...

MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!

Chozi la Mkurugenzi baada ya Mbunge wa Chadema kumchongea kwa JPM

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA MEATU - 08/09/2018

Unity Club Meeting | Closing Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

#LIVE: RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA KIYEGEA MKOANI MOROGORO

Tazama Rais Magufuli alivyomtumbua DAS wa Kisarawe na kuteua mwingine hapo hapo

TOP 10: KAULI za JPM ZILIZOTIKISA, TAZAMA UNIAMBIE IPI ILIKUKOSHA ZAIDI!

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

'Wanasema sijui Kiingereza, sasa niliandikaje hizo thesis''-Rais Magufuli

MCHINA KAKUTANA NA MOTO WA MAGUFULI SITE "NAKUONYA WEWE"

"Hela ni Zangu, Nipe Nikafe Potelea Mbali" JPM- Ikulu

RAIS JPM Alivyoshiriki IBADA ya Kusimikwa UASKOFU Mkuu Jimbo la MBEYA

Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam

AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"

Magufuli:I need quick answers, why there is no water yet the contractor has received 800 million

MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"

