Hakuna Yesu, hakuna uzima (No Jesus, no life) - Swahili Gospel

Hakuna Yesu, hakuna uzima (No Jesus, no life) Swahili Gospel Germoh Group Lyrics: Yesu pekee ndiye anayeweza kuokoa Yesu pekee ndiye anayeweza kurudisha uhai Yesu pekee ndiye jibu Hapana Yesu, hakuna uzima Yesu pekee ndiye anayeweza kuokoa Yesu pekee ndiye anayeweza kurudisha uhai Yesu pekee ndiye jibu Hapana Yesu, hakuna uzima Hapana Yesu, hakuna uzima Hapana Yesu hakuna wokovu Hapana Yesu hakuna amani Yeye ni kila kitu kwa wote Hapana Yesu, hakuna uzima Hapana Yesu hakuna wokovu Hapana Yesu hakuna amani Yeye ni kila kitu kwa wote Hapana Yesu, hakuna uzima Hapana Yesu hakuna wokovu Hapana Yesu hakuna amani Yeye ni kila kitu kwa wote Hapana Yesu, hakuna uzima Hapana Yesu hakuna wokovu Hapana Yesu hakuna amani Yeye ni kila kitu kwa wote