Rais Magufuli akutana na Wananchi wenzake wa Chato
Rais Dkt. John Magufuli amekutana na wananchi wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga ambapo amewapongeza wananchi hao kwa juhudi za kujitafutia kipato. Aidha, Rais Magufuli ameonekana akifurahia kukutana na wananchi hao wakati wakinywa kahawa pamoja huku akiwatembelea akina Mama wanaouza maboga na kununua baadhi ya mabogo hayo kwa ajili ya chakula chake cha nyumbani. Mapema leo Rais Magufuli aliwasili tarehe 28 Machi, 2020 nyumbani kwao Chato mkoani Geita akitokea jijini Dodoma. #AzamNews #AzamTVUpdates #MagufuliChato #MagufuliGeita #Magufuli #JPMMagufuli Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: / azamtvtz ►INSTAGRAM: / azamsports2 ►TWITTER: / azamtvtz ►FACEBOOK: / azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

#LIVE: RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA KIYEGEA MKOANI MOROGORO

MAGUFULI ASHTUKIZA HOSPITAL ZANZIBAR AKUTA WATOTO WAKIWA HOI "MBONA HAWAHUDUMIWI"

MAGUFULI Atikisa CHATO, MAFURIKO ya AJABU, MAELFU ya WATU Wajitokeza KUMPOKEA!

TAZAMA RAIS MAGUFULI ALIVYOSIMAMA KUPANGA MSTARI NA KUPIGA KURA

Rais Magufuli alivyonunulia watu soda Mwanza na yeye akanawa mikono na kula Mgahawani

Rais Magufuli alivyokata tiketi na kupanda Pantoni leo

Tazama Rais Magufuli 'alivyomjaza fedha' Bibi Havintishi wakati akihutubia

FULL VIDEO: Rais Magufuli Alivyosali Kanisa la Chato Leo

MAGUFULI ASHTUKIZA KUKAGUA KITUO CHA MIZANI MPEMBA

RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA

MAMA JANETH MAGUFULI AZUNGUMZA KWA MARA YA KWANZA, MBELE YA FAMILIA YA MWL NYERERE...

''ጦርነቱ በቀናት ውስጥ ይጀመራል'' ሬድዋንና ጌታቸው/የኦባሳንጆ ቡድን የመቐለ ውይይት/''ኦሮሞን አጥፍቶ ይጠፋል'' ፕሮፌሰር መረራ 6-11-2026

"RPC UMLIPE HUYU MAMA MILIONI 15 - HUYO GADDAFI YUKO WAPI KWANI? - JPM...

MAGUFULI ATUMBUA JIPU MBELE YA WANANCHI

JPM ‘alipomtwangia’ simu Jafo na kumtaka aanze safari ya kwenda Mkuranga

Mzee aliyempa Kuku Hayati Magufuli afika kuzika Chato......

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

NYUMBANI KWA MWALIMU NYERERE, KABURI ALIPOZIKWA NA MAENEO MUHIMU ALIPOISHI KIPINDI CHA UHAI WAKE

RAIS DKT.JOHN MAGUFULI AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE NYUMBANI KWAKE MSASANI

