RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR AFICHUA SIRI YA URITHI ALIOACHIWA NA MAREHEMU LOWASSA

#HABARI Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Abeid Amani Karume, amesema sababu kubwa iliyomfanya akubali kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Edward Lowassa Foundation ni historia ya uhusiano wake wa karibu na marehemu Edward Lowassa, ambaye amemtaja kuwa alikuwa rafiki wa kweli na kiongozi aliyependa kushirikiana na wenzake. Akizungumza leo Juni 27, 2026, katika kikao kilichowakutanisha wajumbe wa Bodi ya Edward Lowassa Foundation, Karume alisema urafiki wao ulijengwa kwa misingi ya kuheshimiana, kuaminiana na kuwa na maono yanayofanana kuhusu uongozi na maendeleo ya nchi. Karume alieleza kuwa tangu walipokutana kwa mara ya kwanza bungeni, Lowassa alimkaribisha kwa moyo mkunjufu na kumfanya ajisikie sehemu ya kundi la viongozi waliokuwa wakizungumza lugha moja kuhusu masuala ya kitaifa na ustawi wa wananchi. Akikumbuka kipindi cha harakati za kisiasa mwaka 2000, Karume alisema maandalizi ya safari yake ya kuwania urais wa Zanzibar kupitia vikao vya Halmashauri Kuu ya Taifa yalianzia nyumbani kwa Lowassa, jambo ambalo amesema haliwezi kufutika katika kumbukumbu zake. ✍🏿 @mariamshabanitz #taimediatz #taimediatv

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB
▶︎

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB

After NPP succeeds in getting Kennedy Agyapong out of the Party,  Afenyo will be next II 3fmSunrise
▶︎

After NPP succeeds in getting Kennedy Agyapong out of the Party, Afenyo will be next II 3fmSunrise

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA
▶︎

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

🔴 #LIVE:- UFUNGAJI WA KOZI YA MAAFISA WANAFUNZI MKUPUO WA 06 2024/2025
▶︎

🔴 #LIVE:- UFUNGAJI WA KOZI YA MAAFISA WANAFUNZI MKUPUO WA 06 2024/2025

Jordanien – Argentinien Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Jordanien – Argentinien Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio

"PLU is DANGEROUS!" Odonga Otto EXPOSES Muhoozi, Military Takeover & L.O.P Plot
▶︎

"PLU is DANGEROUS!" Odonga Otto EXPOSES Muhoozi, Military Takeover & L.O.P Plot

Ethiopia’s Red Alert; the Red Sea Breaking Point: Is Africa’s Collapse Inevitable?
▶︎

Ethiopia’s Red Alert; the Red Sea Breaking Point: Is Africa’s Collapse Inevitable?

ALI KARUME: MFUMO WA SERIKALI 3 NDO UNAFAA, WE RAIS MZIMA WA ZANZIBAR ANAKUWA WAZIRI KWENYE MUUNGANO
▶︎

ALI KARUME: MFUMO WA SERIKALI 3 NDO UNAFAA, WE RAIS MZIMA WA ZANZIBAR ANAKUWA WAZIRI KWENYE MUUNGANO

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects
▶︎

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO
▶︎

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO

June 25th Anniversary: The TRUTH you need to know
▶︎

June 25th Anniversary: The TRUTH you need to know

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects
▶︎

The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

Вучић: Војска Србије ће наставити да јача
▶︎

Вучић: Војска Србије ће наставити да јача

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza
▶︎

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza