MWEZI WA MAMA MARIA

Mwezi huu wa Mama Bikira Maria, tusikubali mioyo yetu ibaki mbali na Mungu, kupitia kusali sala ya Rozari Takatifu, tunapata amani, nguvu na matumaini mapya kila siku, tudumu katika kusali maana sala hubadilisha maisha na kufungua njia za baraka. Mama Maria atuombee kwa mwanae daima ili tumkaribie Mungu kila wakati. Usikose mfululizo huu wa vipindi vyetu kupitia 100.5 Radio Amani FM ‪@amaniradioonlinetv‬ ‪@HcfmTanzania‬