VIBANDA VYA SOKO LA ALHAMISI VYAONGEZEWA MKATABA WA MIKA MITATUA KUPITIA DIWANI WA MONDULI MJINI.
Leo katika baraza la madiwani Mhe.Hussein Olekuney akiwasliisha hoja kuhusu Vibanda vya soko la Kila siku Kata ya Monduli mjini apata majibu ya Papo Kwa hapo na kuongezewa muda wa Miaka mitatu ILi kurudisha gharama za Ujenzi wa Vibanda hivyo wakati wananchi Hao waliomba waongezewe muda wa Miaka 10 mingine badala ya Miaka nane walio pewa Ili kurudisha gharama zao Baraza hilo la madiwani likiongozwa na Mhe.kisioki Moitiko ambaye ndie Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli wameadhimia kuongeza Miaka mitatu kama motisha ya wapangaji wa Vibanda hivyo Ili kurudisha gharama za Ujenzi wa Vibanda hivyo.

▶︎
LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

▶︎
CHANGAMOTO ZA MABORESHO YA STENDI YA MONDULI MJINI ZATUA KWA MHE.KISIOKI.

▶︎
Inside Ruto MASTER PLAN with Gachagua IMPEACHMENT CASE |Plug Tv Kenya

▶︎
Mix WD-40 with CEMENT! AMAZING results that most people can't imagine!

▶︎
WAKULIMA WA MASHAMBA YA LOLKSALE WILAYANI MONDULI WAMLILIA RAIS SAMIA

▶︎
KUMBUKIZI YA MIAKA 42 YA HAYATI EDWARD SOKOINE YAHITIMISHWA LEO KWA KUFANYA BONANZA LA MICHEZO

▶︎
BREAKING: Former CJ Maraga arrested in Nairobi

▶︎
MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

▶︎
MTAALA MPYA WA ELIMU YA MSINGI KUANZA MWAKA 2027-2028 WALIM NA WANAFUNZI MJIANDAE.

▶︎
Gachagua exposes what KDF secretly told him about Ebola quarantine facility in Laikipia!🔥

▶︎
UWANJA WA ARUSHA KAMA ULAYA, WAFIKIA ASILIMIA 83,.

▶︎
Iran yashambulia Israel, na Israel yashambulia Iran vita imerejea rasmi

▶︎
CHANGAMOTO ZA CHUO CHA UALIMU MONDULI ZATUA KWA MBUNGE WA MONDULI

▶︎
chinese man called the police to arrest Shocking experience in China

▶︎
🔴#LIVE:CHADEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU KILWA MAELFU WAFURIKA

▶︎
MADIWANI WAMONDULI WASHINDA MOJA BILA MECHI YA KIRAFIKI KATI YA LONGIDO NA MONDULI

▶︎
NIMEFURAHI SANA LEO KUKANYAGA ARDHI YA HAYATI EDWARD LOWASSA MHE.EMMANUEL KIHAMPA

▶︎
Kimeumana! Tension in MILIMANI LAW COURTS Ahead of Gachagua's Impeachment Case Today

▶︎
MAKOSA YA UJANANI NA MASAHIHISHO YAKE (DAY 01) | MWL ONESMO | 12 FEBRUARY 2026.

▶︎
