HIFADHI YA SAYAKA KUNUFAIKA/TFS YATENGA MIL.134 UJENZI WA LAMBO KWA AJILI YA MAJI.
NA SMILE MEDIA– Tarehe 17.8.2022 – Utunzaji wa Mazingira - Mwanza.Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, wakazi wa vijiji vya jirani na hifadhi ya msitu wa Sayaka wilayani Magu mkoani Mwanza, wameonywa kutovamia hifadhi hiyo na kisha kufanya shughuli za kibinadamu, ili kukabiliana na mabadiliko hayo.Reportage: HenryKavirondo – Mwanza:…………………………………………………………...Uvamizi unaofanywa na baadhi ya wakulima na wafugaji ndani ya hifadhi hiyo, kwa lengo la malisho ya mifugo na kilimo, unatajwa kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira, unaosababisha upotevu wa uoto wa asili.Kwa kuwa jukumu la ulinzi wa hifadhi hiyo lipo kwa wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) na wananchi, lakini wapo baadhi ya wakulima na wafugaji wanaokiuka ushirika huo,……. kwa kuharibu mazingira kutokana na shughuli za kibinadamu.ALOYCE PASCHAL – Meneja (TFS) wilaya ya Magu.Je, chanzo cha uvamizi huo ni nini?BOSCOW SHIJEWE – Naibu katibu wa chama cha wafugaji wilaya ya Magu.Uvamizi huo umetajwa kuwa chanzo cha migogoro wakati (TFS) inapolinda hifadhi hiyo, hatua inayoilazimu kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Magu, ikiongozwa na mwenyekiti wake Salum Kalii kuingilia kati msuguano uliopo, ikikemea uvamizi .SALUM KALI Mkuu wa wilaya ya Magu.DESDERY KISWAGA – Mbunge Jimbo la Magu.Hata hivyo tatizo hilo limeshapatiwa mwarobaini na Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, kupitia halmashauri ya wilaya ya Magu.FIDELIKA MYOVELA – Mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Magu.

Jordanien – Argentinien Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio

#NZILANYINGI AWAKA BUNGENI ATAKA BARABARA YA MJINI KISESA,MJINI USAGARA IJENGWE📍

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

SENTINELS OF ENGARUKA FILM

KISA CHA KUHUZUNISHA CANADA //Sheikh Othman Maalim

I visited The Most Westernised Arab Country.

Panama – England Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio

AROOSKII UGU QURUXDA BADNAA EE KA DHACA BAADIYE 2026 || SOMALI NOMAD WEDDING .

MHE.NZILANYINGI AKIHOJI UPANUZI WA BARABARA KUTOKA MJINI KISESA NA MJINI USAGARA\MAJIBU YA WAZIRI.

The Actual Difference Between Cheap and Expensive Olive Oil

Inside Little Mogadishu in Uganda, Somali city away from Somalia 🇸🇴

#RC MAKALLA ATOA MAAGIZO MAZITO YA ULINZI NA USALAMA KWA WENYEVITI WA MITAA ARUSHA📍📍📍📍

Kroatien – Ghana Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio

NAMNA YA KUANDAA SHAMBA LENYE MLO KAMILI KUPITIA UPANDAJI WA MALISHO

Daawo Sh Umal O Si Cadholeh Ugahadlay Cadaalad darada Xaakimiinta Somalia Iyo Munaafaqnimada Hoganka

17 Sano Jir Anoo Ah Ayaan Suufi Noqday Kuwa Qadiriyada | Sheikh Umal

SIRI IMEFICHUKA! Sheikh Sharifu Matongo wa Tabora AJITOKEZA HADHARANI /Je, Alikuwa Wapi Miaka Yote?

#UBUNIFU WA MUIMBAJI WA KIMAASAI NI BALAA📍AKONGA NYOYO ZA WATU KATIKA TUKIO HILI KUBWA📍📍

