Bulabo ni nini katika tamaduni za wasukuma?

Tamasha la utaduni wa kisukuma Bulabo ambalo hufanyika kila mwaka nchini Tanzania huleta pamoja shughuli za utaduni na zile za kikristo. Tamasha hili ambalo huvutia mamia ya watu kila mwaka huwa hutanguliwa na maandamano ya ekaristi takatifu kabla ya shughuli za kitamaduni kufanyika. Mzee Fumbuki Lubasa ambaye ni msaidizi wa Chief Edward Makwaiya wa Busiya anasema tamasha hilo bado lina umuhimu mkubwa. Eagan Salla akiwa mkoani mwanza alituandalia taarifa ifuatayo