TAZAMA KIPAJI CHA MWANAFUNZI HUYU WA KIDATO CHA NNE KATIKA KUSOMA TAARIFA YA HABARI.

Taarifa hii ya habari imesomwa na mwanafunzi wa kidato cha nne, katika shule ya sekondari Kizimba, iliyopo Bumbuli mkoani Tanga, wakati wa mahafali ya kidato cha nne 2021.