KILICHOTOKEA LEO KESI YA MAUAJI YA ASIMWE, MAHAKAMA YAKOSA MAJIBU YA VIPIMO
Kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath iliyokuwa isikilizwe leo Desemba 11 imesogezwa hadi Februari 17, 2025 baada ya Mahakama kukosa majibu ya vipimo vya mshtakiwa namba moja, Padri Elipidius Rwegoshora. Padre Rwegoshora alipelekwa Gereza Kuu la Isanga mkoani Dodoma kupimwa afya ya akili tangu Oktoba 25, 2024. Kesi hiyo namba 25513/2024 inayowakabili washtakiwa tisa iliitwa leo Desemba 11, 2024 kwa ajili ya kusikilizwa, imeshindwa kuendelea baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba, Emmanuel Ng'igwana kusema hajapokea majibu ya vipimo vya mshatakiwa huyo. Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi

▶︎
MAELEZO ya MASHAHIDI YADAI PADRI ALIMUAMBIA BABA ASIMWE AMUUE ASIMWE- ATAMPELEKA DAR-KUMNUNULIA GARI

▶︎
🔴Live: Wana-Azaki Wanazungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola

▶︎
WATOTO WAWILI WA MSELE ANAYEDAIWA KUUAWA NA MKE WAKE WALIVYOFIKA MAHAKAMANI KWENYE KESI YA MAMA YAO

▶︎
MPANGO WA MAUAJI YA MILEMBE WA GGM WATAJWA MAHAKAMANI, SH2.6 MILIONI ZILITUMIKA....

▶︎
HUKUMU ya NAOMI ANAYEDAIWA KUUAWA na KUCHOMWA na MAGUNIA ya MKAA na MACHO ni KESHO...

▶︎
"Rapist Can't Represent Nigeria" Oshiomole Rejects Tinubu's Nominee

▶︎
WASHITAKIWA 9 wa MAUAJI ya MTOTO ASIMWE WAFIKISHWA MAHAKAMANI - WENGINE WASEMA HAWAJUI KOSA LAO...

▶︎
Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa

▶︎
MTOTO ASIMWE AZIKWA, KWA UCHUNGU KATIBU WA ALBINO AFUNGUKA MAZITO "MNAWAJUA WALIOMUUA"

▶︎
MGOGORO MKUBWA wa ARDHI - JAMAA WOTE WADAI WANA HAKI - KESI YAFIKISHWA kwa WAZIRI SILAA - UTATA...

▶︎
HAWA HAPA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA MTOTO ALBINO ASIMWE MAHAKAMANI,HAKIMU AAHIRISHA KESI

▶︎
TAZAMA DAKTARI FEKI ALIVYO BANANISHWA BAADA YA KUKAMATWA.

▶︎
"I KILLED MY HUSBAND" - Joyce Mwangi After 7 Years in Prison | Murang'a Self-Defense Case

▶︎
Meru Erupts in Celebration After DCP's Ol Kalou By-Election Victory | Linturi Leads Supporters

▶︎
SEFUE AZUNGUMZIA MAANDAMANO, GEN Z NA CHANGAMOTO ZA MALEZI

▶︎
SABAYA ACHANGANYIKIWA NA MASWALI MAHAKAMANI/ AKIRI KUMILIKI SILAHA

▶︎
"የትግራይ ህዝብ ለህወሓት እምቢ ይበል!" - አቶ ጌታቸው ረዳ በህወሓት ላይ ያስተላለፉት ጥብቅ መልዕክት |

▶︎
“Serbët jetojnë në tokat tona”, NGJELA plas bombën: Injorantë, ja plani për shqiptarët

▶︎
BALAA WAZIRI KATAMBI HANA PAKUTOKEA SAKATA LA ZUIO LA MIKUTANO/WADAU WAMKALIA KOONI AFUNGULIWA KESI

▶︎
