NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Manara amvaa kocha wa Yanga, asema Aussems ni 'Profesa wa football'
Ni katika Kipindi cha Nyundo ya Baruan Muhuza ambapo Alhamisi hii Msemaji wa Simba Haji Manara ndiye aliyekuwa mgeni, amefunguka mengi ikiwemo kupinga kauli ya Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera baada ya mchezo wa #WataniWaJadi kati ya Simba na Uliopigwa Septemba 30, 2018 kwenye Uwanja wa taifa Dar es Salaam na kumalizika kwa suluhu. Mengine aliyozungumza ni pamoja na kukataa Yanga wasiitwe mabingwa wa kihistoria, asema Simba ndiyo inayoongoza kwa makombe Tanzania. Asema ndoto yake ni kuwa Rais wa Tanzania katika miaka ijayo. Azungumzia mgawanyo wa mapato kwenye mechi ya Simba na Yanga iliyopigwa Septemba 30, 2018. Afunguka mapya kuhusu mtifuano uliopo kati ya kocha mkuu wa timu hiyo Patrick Aussems na Kocha msaidizi Masoud Djuma Asisitiza takwimu kuwa Simba ndiyo inayoongoza kwa makombe mengi Tanzania kuliko Yanga. Asema atakachofanya ili mitandao ya kijamii ya Simba iwe na nguvu zaidi

NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Kocha Mwinyi Zahera afichua kilichomleta Yanga na kuwabwaga Wazambia

Julius Kipngetich, Group CEO of Jubilee Holdings | Full speech at Man Cave 6

How Proctor’s texts in Karen Read lawsuit could free dangerous criminals

The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

FULL MATCH: Brazil vs. France 2006 FIFA World Cup

Coach Nimley on Black Stars' Performance Against England, Benjamin Asare and Jordan Ayew

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

WOW GHANA USED 3 NEW TACTICS ON TUCHEL..ENGLAND 0 GHANA 0, TACTICAL ANALYSIS. WATCH ALL DETAILED KEY

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

ECU is MESSING WITH HOLGER! 😮💨

Germany v Brazil | 2002 FIFA World Cup Final | Full Match

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

MZEE SAID!YANGA HAKUNA WA KUMZUIA UBINGWA SIMBA TUJIPANGE MSIMU UJAO/HUWEZ KUMFUNGA YANGA MARA MBILI

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

Man Cave 6: Pressure, Power and Purpose

HECHE AMVAA KATAMBI BILA UWOGA, KATAVI YAITIKA NYOMI

I Spent 20 Days Building the Cheapest Forest House Alone to Live: Solo Bushcraft (Full)

WEDNESDAY NIGHT: HAJI MANARA AKILONGA KUHUSU SIMBA SC v JS SAOURA

TISHIO LA MAANDAMANO 7/7, WAZIRI MKUU AFOKA VIKALI KWA WALIOPANGA MAANDAMANO ATOA MSIMAMO MKALI

