BODI YA MIKOPO 'HESLB' WATANGAZA HILI KWA WANAFUNZI, 'KIWANGO CHA CHINI CHA MKOPO CHAONGEZEKA'
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetangaza awamu ya kwanza ya wanafunzi walionufaika huku kiwango cha chini cha mkopo kwa mnufaika chaongezeka. Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dk Bill Kiwia akizungumza na waandishi wa habari Septemba 28, 2024 amesema katika awamu ya kwanza wanafunzi 21,509 wamepangiwa mikopo. Kwa mujibu wa Dk Kiwia katika mwaka huu kiwango cha chini cha mkopo kwa mnufaika mmoja mmoja kimepanda hadi Sh3 milioni kutoka Sh2.7 milioni mwaka uliopita wa 2023/2024. “Hii inafanya wastani wa ada kiwango cha chini unaotolewa kufikia Sh530,000 kutoka Sh230,000, hela hii inawafanya sasa wanafunzi wanaosoma kozi za bei nafuu kuwa na uwezo wa kulipiwa karibu ada yote wanayopaswa kulipa,” amesema Dk Kiwia.

▶︎
UFAFANUZI WA BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WENYE KUOMBA MIKOPO

▶︎
BODI YA MIKOPO YATAJA SABABU KUU TATU. ZA WANAFUNZI KUKOSA MIKOPO.

▶︎
HOJA MEZANI| Kurejeshwa kwa mikopo ya Halmashauri

▶︎
GETI LA KANISA LAVUNJWA ZNZ, WAUMINI WAVUNJA CHUMBA CHA JIRANI, WADAI KELELE USIKU KUCHA

▶︎
MBUNGE KISHIMBA AIVAA BODI YA MIKOPO "MNAWADAI WANAFUNZI AU CHUO? MMEMPA ELIMU AMBAYO HAIAJIRIKI"

▶︎
MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

▶︎
UKIPATA PESA NYINGI GHAFLA, USIFANYE MAAMUZI KABLA YA KUSIKILIZA HAPA, TULIZA AKILI

▶︎
JINSI YA KUTUMIA MUDA WAKO ILI UFANIKIWE KWA HARAKA | Victor Mwambene.

▶︎
OPARESHENI ONDOA VISPIKA KWENYE MASOKO DAR GUMZO KWA WAFANYABIASHARA, DC AFAFANUA "NI MARUFUKU"

▶︎
MAKALA: JENERALI VENANCE MABEYO,KUTOKA NDOTO YA KUWA PADRI HADI KUWA MKUU MAJESHI ASIMULIA KILA KITU

▶︎
බළලා පොහොට්ටුවෙන් පනී.. සජිත්ට කොළේ වසා නාමල්ට අත දෙන්නේ කවුද?

▶︎
MKURUGENZI wa BODI ya MIKOPO ATOA TAMKO kwa WANAFUNZI wa ELIMU ya JUU.....

▶︎
Baada ya VUTA NI KUVUTE kuhusu mikopo Bungeni; Waziri Prof Mkenda afunguka

▶︎
NILITUMIA DOZI 16 NIKAKATA KAULI HARUFU KAMA MAITI, ALIYEUMWA KANSA YA KICHWA APONA AFUNGUKA MAZITO

▶︎
CHUO CHA MAJI CHAJIVUNIA KUWA NA KAZI ZENYE TIJA KWA WAHITIMU, MKUU WA CHUO AZUNGUMZA..

▶︎
HESLB YATOA UFAFANUZI SIFA ZA WANAFUIKA WA MIKOPO ELIMU YA JUU.

▶︎
SHAJARA | HELSB yafungua dirisha la maombi ya mikopo ya Stashahada kwa awamu ya pili

▶︎
HIZI HAPA TARATIBU ZA KUPATA MIKOPO YA HALMASHAURI ILIYOBORESHWA

▶︎
🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

▶︎
