JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi
JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi Kibongobongo staa akimiliki gari la kifahari basi anajiona ameshafanikiwa sana kimaisha lakini je, unajua kuwa kuna mastaa duniani wanaomiliki ndege binafsi? Achana na chopa, hapa nazungumzia ndege binafsi, private jets! Yaani akitaka kusafiri kwenda sehemu yoyote, hana haja ya kupanga foleni ‘airport’, anaingia kwenye ndege yake kisha huyoo, anasepa zake. Mwanamama Celine Dion, mwimbaji mahiri wa muziki wa taratibu aliyezaliwa Machi 30, 1968 nchini Canada, anamiliki ndege yake binafsi. Ndege anayomiliki ni Bombardier Global Express, yenye thamani ya takribani dola 42 milioni na ina uwezo wa kubeba abiria 14. Ndani yake, ameajiri wapishi na wahudumu wengine kadhaa, kwa ajili ya kuhakikisha huduma zote muhimu kama chakula na vinywaji, zinapatikana ndani ya ndege wakati wote wa safari. Kwa ndani, ndege hiyo imenakshiwa kwa samani za bei mbaya, na kuifanya kuwa miongoni mwa ndege zenye mvuto mkubwa kwa ndani. http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://ww.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Suazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

''SGR INA WALAKINI? MTAACHA LINI MATUMIZI MAKUBWA - MAGARI MENGI'' - MWANDISHI wa DEUTESCHE WELLE

Malaysia Flight MH370: Ukweli wa KUTISHA kuhusu kupotea kwa NDEGE hii, MABAKI yalipatikana ZANZIBAR

USICHOKIJUA: Kuhusu Ndege Kubwa Duniani Iliyotua Tanzania

Vioja Mahakamani Street Boys

Inside the Gold Mining Factory: How Gold Bars Are Mined and Refined (Full Process)

Vijana wa Kitanzania watengeneza ndege 9 kwa mikono yao

Kolumbien – Portugal Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio

Historia ya (KDF) Kenya Defence Forces

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

BILIONEA WA DUNIA, ANA NDEGE YA DHAHABU, MAGARI 1600, ROLLS ROYCE, LAMBORGHINI, JUMBA

Mpaka Home MAISHA YA RAYVANNY NA JUMBA LEKE LA KIFAHARI UTAPENDA

HUYU NDIYE RAIS MASKINI ZAIDI DUNIANI (THE POOREST PRESIDENT IN THE WORLD)

TOP 10 MASTAA WENYE NYUMBA ZAO WALIZO JENGA WENYEWE WASANII MATAJIRI 2024

NI NOMA!! HIVI NDIO VIWANJA 10 VYA NDEGE VIKUBWA ZAIDI DUNIANI

KENYONYO WA ARUSHA ATANGAZA KUOA MWEZI HUU, MAKONDA APEWA TAARIFA "NAOA KWELI"

Ishu ya Diamond, Waziri Mwakyembe Acharuka Bungeni!

Koji je PRAVI RAZLOG NESTANKA MH370?

UTACHEKA NDARO NA STEVE KIMEUMANA

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

