JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi

JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi Kibongobongo staa akimiliki gari la kifahari basi anajiona ameshafanikiwa sana kimaisha lakini je, unajua kuwa kuna mastaa duniani wanaomiliki ndege binafsi? Achana na chopa, hapa nazungumzia ndege binafsi, private jets! Yaani akitaka kusafiri kwenda sehemu yoyote, hana haja ya kupanga foleni ‘airport’, anaingia kwenye ndege yake kisha huyoo, anasepa zake. Mwanamama Celine Dion, mwimbaji mahiri wa muziki wa taratibu aliyezaliwa Machi 30, 1968 nchini Canada, anamiliki ndege yake binafsi. Ndege anayomiliki ni Bombardier Global Express, yenye thamani ya takribani dola 42 milioni na ina uwezo wa kubeba abiria 14. Ndani yake, ameajiri wapishi na wahudumu wengine kadhaa, kwa ajili ya kuhakikisha huduma zote muhimu kama chakula na vinywaji, zinapatikana ndani ya ndege wakati wote wa safari. Kwa ndani, ndege hiyo imenakshiwa kwa samani za bei mbaya, na kuifanya kuwa miongoni mwa ndege zenye mvuto mkubwa kwa ndani. http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://ww.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   Visit https://globalpublishers.co.tz/, Suazi1    / uwazi1   WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   INSTAGRAM:   / globalpubli  .