Nipatie Dk 16 Nikuonyeshe "Kinachokuzuia" Kujawa na Roho Mtakatifu - Pastor Ulenje.

Jifunze sababu 4 ambazo zinawazuia wakristo wengi kujawa na Roho Mtakatifu; nimetoa na majibu ya kufanya. Ujumbe huu ni ushuhuda kwangu; kwani Roho amenipa kuzungumza maisha na ushuhuda wangu namna nimepokea Roho Mtakatifu. Kwa masomo zaidi jiunge na Channel ya WhatsApp link hii... https://whatsapp.com/channel/0029VbAc... Kwa Mawasiliano +255 683 477 827 Morogoro, TZ