Ukweli kuhusu yaliyojiri Shumba ya Mjini - 2

Leo tarehe 19 Oktoba 2020, Weyani TV ilitembelea tena baadhi ya familia za Shumba Mjini ambazo zimevunjiwa majumba yao na kuibiwa mali zao mbali na kupigwa watu na watu wanaosema wanatoka vyombo vya usalama. Kwa sababu ya usalama wao, hatuoneshi sura zao.