LANGO LA MZURI
Kisa cha Lango la Mzuri (Lango Zuri) kinapatikana katika kitabu cha Matendo ya Mitume 3:1–10. Petro na Yohana walikuwa wakielekea hekaluni wakati wa saa ya kusali. Kando ya lango la hekalu lililoitwa Lango la Mzuri, kulikuwa na mtu aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa. Kila siku aliletwa hapo ili kuomba sadaka kwa watu waliokuwa wanaingia hekaluni. Alipowaona Petro na Yohana, aliwaomba sadaka. Petro akamwangalia na kusema: “Fedha na dhahabu sina, lakini nilicho nacho nakupa; kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende.” Petro akamshika mkono wa kuume na kumwinua. Mara miguu na vifundo vyake vikapata nguvu. Akasimama, akaanza kutembea, akaruka-ruka na kumsifu Mungu. Watu wote walimwona na kushangaa sana kwa sababu walimtambua kuwa ndiye aliyekuwa akiomba sadaka kwenye Lango la Mzuri. Mtunzi: Lameck Chacha Instrumental: Lameck Chacha @2026

USICHOKE NDUGU YANGU TUTAFIKA

JENGA MWAMBANI

Ni mungu peke yake Kwaya ya mt.theresia

TRACK : Namlilia Malebo - By Pastor Faustin Munishi

NITEMBELEE YESU

KARIBU MOYONI MWANGU BY D.J.MALLYA

PENDO LA AGAPE

Sinyolo Girls' National School ~ Msenangu Cover ~ a song that raises memories

JIPONYE NAFSI YAKO NDUGU, MUDA NDIO HUU

NEGOMBA

KIK UHER PINYNI// SILOAM CHOIR -MFANGANO// EXODUS MUSIC

MSALABA

MZABIBU

NDANGERIE -Jer 33:3, sms SKIZA 7913297 to 811. BY NYANSARA CATHOLIC CHOIR ~ Composer, Dalmack Ogembo

JERUSALEM MPYA

SONGAMBELE - Nyashishi SDA Choir (Official Video)

SHERIA YA MUNGU
![NAYAJUA MATENDO YAKO[OFFICIAL VIDEO] SDA CHURCH KAMULU TOWNSHIP #gospelmusic #sdachurch #sdamusic](https://i.ytimg.com/vi/qAHLnMB9D_A/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLCxJc8jD2Wv7yZMdiHUhkQx3_RPpw)
NAYAJUA MATENDO YAKO[OFFICIAL VIDEO] SDA CHURCH KAMULU TOWNSHIP #gospelmusic #sdachurch #sdamusic

Ni Ndiyendeirwo ni Ngai / Thiiri Wa Wendo Medley.

