SISI NI HURU

SISI NI HURU (KMC) 1. Sisi ni huru toka torati, Damu ya Kristo ni ukombozi Tulipofungwa chini ya laana, Kristo alitufanya huru Kwa mbio.: Huru kabisa, ndugu, sikia! Huru kabisa,ndugu, amini! Kwa neema Kristo musalabani Alitufanya huru kweli. 2. Sasa azabu haitakuwa Kwa wenye kumwamini Mwokozi; Tuna wokovu mutimilifu, Kwani tuna-amini Yesu. 3. Sisi ni sasa wana wa Mungu. Kwa neema yake anatuchunga; Tumepokea kwake uzima Na tumepita toka kufa.