VIJANA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VISABABISHI TATIZO LA AFYA YA AKILI.
Vijana wa Jiji la Tanga wametakiwa kujiepusha na maisha yanayowasababishia msongo wamawazo kwani hali hiyo inawasababishia kupata ugonjwa wa afya ya akili . Wakizungumza katika Kongamano lililowakutanisha Vijana wa Jiji la Tanga mwenyekiti wa kamati ya uendeshaji wa mradi Tanga yetu Juma Iddi wakati wa akifungua kongamano la vijana Jiji la Tanga na kuwataka vijana kujiepusha na vitendo vinavyo sababisha tatizo la ugonjwa wa afya ya akili na kushiriki katika mapambano ya matumizi ya dawa za kulevya.

▶︎
KONGAMANO LA VIJANA PLATFORM WILAYA YA TANGA

▶︎
MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA

▶︎
أرح سمعك وقلبك بالقرآن💛🎧 وأستمع لتلاوة هادئه بصوت محمد هشام | راحة نفسية😌 | Mohamed Hesham

▶︎
Mradi wa Handeni, Korogwe, Muheza na Pangani umefikia asilimia 74 ya utekelezaji wake.

▶︎
WANANCHI JIJINI TANGA KUNUFAIKA NA MIRADI INAYOTEKELEZWA.

▶︎
....የዘራኸዉን ታጭዳለህ! ብሩክታዊት እና ወ/ሮ አዜብ ከ12 አመት በኋላ ተገናኙ| Seifu on EBS

▶︎
Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

▶︎
WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

▶︎
RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI

▶︎
DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA ZAONEKANA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA

▶︎
OFISI ZA WIZARA YA NISHATI MTUMBA- KITOVU CHA UTOAJI WA HUDUMA BORA SEKTA YA NISHATI

▶︎
Ethiopia is About to Explode.

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

▶︎
HATUA ZA HARAKA ZACHUKULIWA SOKO LA MGANDINI KUBADILIKA.

▶︎
263 DIOS TE DICE HOY: ESA ANGUSTIA QUE TE ROBA LA PAZ SERÁ CAMBIADA POR DESCANSO

▶︎
Uwekezaji Mkubwa K4: Serikali Kutatua Changamoto za Wakulima wa Miwa

▶︎
ASMR Best Triggers For Sleep Collection (No Talking) 3 Hours of Tapping & Scratching

▶︎
Time Alone With God: Instrumental Worship & Prayer Music with Scriptures 🌿 Worship Reflections

▶︎
HATUTAVUMILIA MADEREVA WALEVI

▶︎
