MWANZILISHI WA KANISA LA GRACE EVANGELICAL CHURCH TANZANIA | G-E-C-T

IBADA HII ILIFANYIKA KANISA LA VUKA YORDANI KISONGO WAYA ARUSHA - TANZANIA. IKIONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU ARCH BISHOP ELIBARIKI SUMBE, MWANGALIZI NA ASKOFU MKUU WA MAKANISA YA GRACE EVANGELICAL CHURCH TANZANIA. Mawasiliano / Whatsapp +255 745 489 440 | +255 782 550 710 Email:[email protected] Pia tunapatikana kwenye TV ya TZ GOSPEL TV inayopatikana kwenye king'amuzi cha AZAM TV kwa TANZANIA, KENYA, MALAWI, ZIMBABWE NA UGANDA, lakini inapatikana pia kwenye ving'amuzi vingine nchini, MSUMBIJI, BOTSWANA, NIGERIA. kila siku saa 7:00 mchana na saa 3:00 usiku pia Ibada zetu zinakuwa live kwenye TZ GOSPLE TV kila siku JUMATANO kuanzia saa 10:00 jioni na JUMAPILI kuanzia saa 4:00 asubuhi. Tufuatilie Katika Social Media Zetu Kwa Links Zifuatazo :   / archbishopelibarikis.  .   / bishopelibariks.  . https://tiktok.com/BishopElibarikiSumbe   / bishopsumbe   Website https://Vukayordani.Org LIKE | COMMENT | SHARE. UBARIKIWE | BE BLESSED #VukaYordaniChurch #VukaYordaniMedia #GECT #Tanzania #KisongoWaya #Arusha #Tanzania