AJALI! BASI LA ABIRIA LAGONGANA USO KWA USO NA GARI LA MIZIGO, KADHAA WAFARIKI DUNIA
Ajali nyingine ya gari imetokea katika Mkoa wa Tanga na kusababisha vifo vya watu wanne huku wengine 16 wakijeruhiwa. Ajali hiyo ni ya tatu iliyosababisha vifo ndani ya siku chache za mwanzo wa mwaka 2026 na mwishoni mwa 2025. Ajali ya kwanza ilitokea Morogoro, Desemba 31, ikiua watu 10 na kuwajeruhi 18. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo, Jumapili Januari 11, 2026 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, inaeleza kuwa, ajali hiyo imehusisha magari mawili kugongana uso kwa uso, saa 9:30 asubuhi katika eneo la Mkumbara, Tarafa ya Mombo, Wilaya ya Korogwe, kwenye barabara kuu ya Same–Korogwe. Inaeleza kuwa, ajali hiyo imehusisha gari la mizigo aina ya Scania likiwa na tela mali ya Kampuni ya Mikoani Edible Oil and Detergents Ltd, lililokuwa likitokea Same kuelekea Korogwe- Tanga na basi aina ya Yutong mali ya Kampuni ya Mwensino, lililokuwa likitokea Lushoto kuelekea mkoani Arusha. Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi.

AJALI! BASI LA ABIRIA LAGONGANA USO KWA USO NA LORI LA MIZIGO! MMOJA AFARIKI, WENGINE 12 WAJERUHIWA

MAJERUHI WA AJALI ILIYOUA WATU 12 MBEYA, WAELEZA ILIVYOKUWA "TULISIKIA VITU VINAANGUKA"

ABIRIA ZAIDI YA 40 WANUSURIKA KWENYE AJALI YA BASI WILAYANI MAGU, “DEREVA ASHIKILIWA"

BASI LINALOTOKA TANZANIA HADI SOUTH AFRICA, NAULI LAKI 3 NA NUSU, SAFARI SIKU 3 “MMILIKI MTANZANIA”

ABIRIA WATATU wa BASI la ABC WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MORO - DEREVA wa BASI AKIMBIA...

MASHUHUDA WASIMULIA ILIVYOKUWA AJALI MABASI YA ABIRIA KUGONGANA KUWAKA MOTO ABIRIA WAKIWA NDANI SAME

Fireworks as Ruto gets angry in South Africa after was asked about Kenya, US Ebola deal!

Windshear Sends Plane Into Nose Dive

DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

Epstein fallout panic: new details from a tense White House meeting

JINSI POLISI WALIVYOHUKUMIWA KUNYONGWA kwa KUMUUA MFANYABIASHARA wa MADINI MTWARA - SINDANO YA SUMU

Iran war: Trump confirms secret military mission in Strait of Hormuz | FOX 10 Phoenix

19-07-2022 - VN24 - Serious truck accident at Kamen cross A2 in Germany

BONI YAI AWATAJA GEN Z ANGUKO LA MBOWE CHADEMA

“Foolish King!” Big Blow to Ruto as He Walks Into Gachagua’s Trap

RUTO IN PANIC! The Secret 2027 Masterplan Behind Faith Odhiambo Joining Linda Mwananchi |Lee Makwiny

Lawrence: Vance knew Epstein Files were ‘a huge problem’

BREAKING NEWS! AJALI MBAYA MBEYA - MBEMBELA

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

