Maandazi - Kiswahili

Ingredients: 4 Cups Unga wa ngano 4 tspn hamira ( kijiko kidogo 4) ½ kijiko kidogo unga wa haliki teaspoon Kikombe 1 sukari/200gms Kikombe 1 na 1/4 ua na 1/2 tuwi la nazi ( au maziwa) Kijiko 1 kikubq mafuta ya kupikia ( kama utapenda) mafura ya kukaangia kutegemea na karai Kwa recipe please visit http://aromaofzanzibar.blogspot.com/2...