Kesi zapinga agizo jipya la NTSA kuhusu ukaguzi wa magari
Kesi mbili tofauti zimewasilishwa mahakamani kupinga agizo jipya la Halmashauri ya Uchukuzi wa Barabarani (NTSA) kuhusu ukaguzi wa lazima wa magari. Kesi hizo zilizowasilishwa na kundi la kutetea haki za kibinadamu la Sheria Mtaani na kampuni ya sheria ya Mugane zimepinga kanuni mpya za ukaguzi wa magari wakisema maoni ya Wakenya hayakukusanywa kabla ya kutungwa kwa sheria hizo. Wamedai pia kuwa utekelezaji wa agizo hilo utawalazimu Wakenya kubeba gharama zaidi.

▶︎
| MONDAY REPORT | ARE ABDUCTIONS BACK?

▶︎
Major standoff in the offing between motorists and NTSA over controversial inspection rules

▶︎
What Question Can't You Ask The President?

▶︎
Fear grips Uasin Gishu as KWS hunts two giant pythons

▶︎
Netherlands vs. Morocco Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

▶︎
BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

▶︎
| DAY BREAK | Government's Safaricom Shares

▶︎
Ruto praises Nairobi residents for shunning Gen-Z memorial protests

▶︎
Magazeti ya leo,30/06/2026,WAZIRI KATAMBI KUBURUZWA KORNINI,FUNGA KAZI,SIMBA AU YANGA BINGWA TPL

▶︎
Kenya wins big in regional fuel war as Rwanda chooses Mombasa port and Kenya Pipeline network

▶︎
I Advise Ruto Not To Vie In 2027, Kenyans Are Tired | Chege Majuice

▶︎
Rivers Police CP Begins Enforcement Against Covered License Plates, Unregistered Vehicles

▶︎
‘Mr Speaker Sir’ protester Ezekiel Nzyoki released on KSh100,000 personal bond

▶︎
RAIS AMSHUKIA DCI KINGAI"NILIKUONA UNAFOKAFOKA KAFANYE VITENDO KABLA HUJAMSWEKA MTU FANYA UCHUNGUZI

▶︎
30/06 HIZI HAPA SASA HABARI KUU ZA UKWELI KUTOKA KONA ZOTE MASHARIKI MWA DRC KWENYE UWANJA WA VITA.
![| DAY BREAK | Are abductions back? [ Part 1]](https://i.ytimg.com/vi/bBoJfrhXJ_4/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLCwCMKOB88Oqo4E1nOkHudPTXEPiw)
▶︎
| DAY BREAK | Are abductions back? [ Part 1]

▶︎
How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

▶︎
President Museveni's son Muhoozi shuts down Nation Media Group's Uganda operation

▶︎
NTSA imewakamata dereva na kondakta wa matatu

▶︎
