Orchestra Safari Sound 'Masantula ngoma ya mpwita' na wimbo wao 'Mwaka wa watoto'. Muziki na wanamu
Hapa "GUGO WA MUZIKI" Adam Zuberi katika MUZIKI NA WANAMUZIKI, anaongea na mwanamuziki Mkongwe na Mahiri aliyekuwa mpiga magitaa ya Rhythm, Second Solo na Solo gitaa katika Bendi ya Orchestra Safari Sound Masantula Ngoma ya Mpwita, Matuka Mwenda Bizoo. Bizoo anatuelezea jinsi wimbo wa MWAKA WA WATOTO wa Bendi hiyo jinsi ulivyotungwa na pia anatutajia mtunzi wa wimbo huo pamoja na wanamuziki wote walioshiriki kwenye wimbo huo. Pia Matuka Mwenda Bizoo anatuelezea ni kwa kiasi gani wimbo huo ulivyokuwa ukipendwa na wapenzi wa muziki wa Dansi popote pale walipokuwa wakipiga. Ni matumaini ya channel hii ya MUZIKI NA WANAMUZI kuwa utaburudika pamoja na kuelimika vilivyo katika video hii. Kama utakuwa na swali, maoni, ushauri au hata ukosoaji, jisikie huru kutoa maoni yako ilimradi tu yasiwe na matusi. Nasi tutajibu kadri tukavyoweza pale inapohitajika kujibu. Ili usipitwe na habari yoyote ile itakayotundikwa kwenye channel hii, tafadhali click link ifuatayo ili uweze kuwa wa kwanza kujulishwa kuhusu habari mpya MUZIKI NA WANAMUZIKI: / @muzikinawanamuziki Fresh Jumbe YouTube / freshjmw Adam Zuberi Facebook https://www.facebook.com/profile.php?... Fresh Jumbe Facebook / akida.mtwana Website https://freshjumbe.com/

Sikinde tulitumia gitaa la Kombora asema Julius Mzeru - Halafu ile bendi ilikuwa kama jeshi maana...

Dr.SLAA AMVAA RAIS SAMIA KWENDA URUSI UGUSIA SWALA LA SUMU KWA LISSU,AMVAA KOMBO NA MSIGWA KUPOTOSHA

Wendo Ngogoyo- Mwalimu James Mbugua

Juma Ubao - King Makusa: Tumeshasema sana, lakini ni kama tunampigia Mbuzi gitaa - Muziki siku hi...

Kama ulikosa show ya Mzee Ngala & Jimmy Ngala @trucksMalindi watch this #culture

Gwiji la kupuliza Tarumbeta Super Volcano na bendi za Wanyika Saidi Makelele - Part - 1

03 mwaka wa watoto new)

Patrick Kamaley: Nilikwenda Bima Lee kwa kujiamini. Pia wimbo Mwanvua utunzi wake Gerry Nashon...

Fresh Jumbe Interview with Masoud Masoud of TBC Taifa Radio - Tanzania

Aluna

Juma Ubao "King Makusa" - Kipini cha dhahabu na mpunga wa kisele...

Orchestra Safari Sound (Masantula)

Wimbo wa Kipepeo. Umeimbwa na Marehemu, Shaban DEDE akiwa na bendi ya Bima Lee

Mohammed Bakari Churchil - Mwana mapinduzi wa Rithm gitaa la Urafiki Jazz Band wana 'Chakachua'

Marashi ya Pemba - OSS Ndala Kasheba

Ni Lipi La Ajabu

Majengo: Ala za upepo zinapotea nchini mwetu - Nataka kuwafundisha vijana wanakimbia - Nchi yetu...

Huba Wangu

siri yako ni siri yako-Masantula

