Je, unazifahamu changamoto za pua, koo na masikio zinazowakuta wakazi wa Kanda ya Ziwa kwa wingi?
Kipindi hiki cha AfyaCheck kilirekodiwa wakati wa kambi ya upimaji wa bure wa AfyaCheck kwa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa (Lake Zone Regions AfyaCheck Campaign) ya Mwanza, Mara, Kagera, Geita na Shinyanga. Katika kipindi hiki madaktari bingwa kutoka Kamanga Medics Regional Referral Hospital, Dr Adam Sijaona, Daktari Bingwa wa Masikio, Koo na Pua (ENT) na Dr Anthony Mapande, Daktari Bingwa wa Upasuaji wanazungumzia kuhusu changamoto za masikio, pua na koo (ENT) pamoja na zile zinazohitaji upasuaji kwa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa.

▶︎
Part A: AfyaCheck S10EP1 13July2022 Ugonjwa wa kutetemeka (Parkinson’s Disease)

▶︎
Fahamu yote kuhusu Figo na changamoto zake

▶︎
Baadhi ya matukio yaliyotokea kwenye Dar es Salaam AfyaCheck iliyofanyika 20 - 29 June 2024

▶︎
What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)

▶︎
Why your urine is foaming!

▶︎
Fahamu kuhusu maradhi mbalimbali ya macho na namna ya kutunza macho na uwezo wake wa kuona

▶︎
Zifahamu changamoto za kiafya zinazoathiri pua, koo na masikio ya Watanzania wengi.

▶︎
BUZAAYA COUNTY TAILORS EMYOOGA SACCO EMPOWERING GIRLS WITH SKILLS

▶︎
Fahamu kwa nini shinikizo la juu la damu limepachikwa jina la "muuaji wa kimya" (silent killer)

▶︎
Fahamu unavyoweza kuondoa makovu, michirizi mwilini, tatuu (tattoos) na mapungufu ya meno kinywani.

▶︎
AFYA CHECK KAMPENI LWANGWA 7 September 2022 PART B

▶︎
Just Coffee! Orchid Leaves Immediately Grow Roots From The Base And Bloom All Year Round

▶︎
PARASITES🦟🦟🦟---THINGS you should know!😲

▶︎
The TRUTH About Metformin - What DOCTORS don't tell you!

▶︎
Fahamu sababu na namna vijana wavuvi wa Tanga wanavyojiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya!

▶︎
Unafahamu kwa nini Watanzania wengi wetu tukifunga vinywa vyetu meno ya juu na chini hayagusani?

▶︎
Fahamu idadi ya wakazi wa Dar es Salaam waliohudumiwa kwenye kambi ya AfyaCheck mwaka huu 2024

▶︎
KAWAIDA NYUMBANI KWA HAYATI MAGUFULI CHATO, AZURU KABURI AKIWA NA JESCA MAGUFULI

▶︎
Je, unafahamu kazi ya 'vile vichuma' vinavyowekwa kwenye meno ya watoto na vijana wetu siku hizi?

▶︎
