SERIKALI YAKEMEA SIASA ZA CHUKI, KATAMBI AWAJIBU WAPINZANI
TANGA: WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amewahakikishia wananchi wa Tanzania kuwa nchi inaendelea kuwa salama na yenye amani, huku akiwataka kuendelea na shughuli zao za kiuchumi na maendeleo bila hofu. Katambi amesema vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga kikamilifu kulinda amani na utulivu wa nchi, hata katika kipindi ambacho kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kumekuwa na taarifa zinazodai kuwapo kwa maandamano nchini. Aidha, amezitaka mamlaka za serikali za mitaa kupitia wakurugenzi wa miji na halmashauri kuhakikisha miundombinu ya barabara inakuwa katika hali nzuri ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za uokoaji na zimamoto pindi zinapohitajika. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

RAIS SAMIA ATOA MAAGIZO HAYA KCMC

GOOSEBUMPS! RONALDO MADE THE IMPOSSIBLE HAPPEN IN A HISTORIC PORTUGAL COMEBACK!

How Traore is Magically Growing Real Apples in Desert?

WAZIRI MKUU ANAFUNGUA KITUO CHA KISASA CHA SUPERDOLL

ICC ilipewa Taarifa; Zaidi ya Raia 3000 Waliuawa Tanzania Baada ya Uchaguzi ambao Samia Alishinda

HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA

BODABODA SHUJAA ALIVYOMCHANA UKWELI POLISI - ''HIVYO VYEO MUNAVYOTUNA NI SABABU TUMEKUWA WATULIVU''

#MAKALA: MAKAZI SOLUTIONS LTD YATANGAZA FURSA KUBWA YA VIWANJA KWENYE LANGO KUU LA UCHUMI KIPUMBWI

WALIOCHOMA KITUO CHA POLISI WAOMBEWA MSAMAHA|WANANCHI WAJICHANGA KUKIJENGA UPYA

WAZIRI MKUU ANAFUNGUA KITUO CHA KISASA CHA SUPERDOLL

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

10 facts about airbus a380

LIVE: RAIS SAMIA AKAGUA BANDARI YA TANGA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

Can Mbarara International Airport realistically take off?

DAKIKA 8 ZA ASKOFU MALASUSA KWENYE UZINDUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KCMC

ከአምባሳደር ጄኔራል ባጫ ደበሌ ጋር የተደረገ ቆይታ - ስለሃገር | ETV | EBC | EBCDOTSTREAM

Millions of People Around the World Don't Know About This Amazing Tool Invention | Homemade Tool

‘He Is A Frustrated Latin American’: Brazil Prez Lula Shames Marco Rubio After New Trump Tariffs

