Nurdin Kishki - Riba ni Haramu /Uharamu wa Riba
Riba ni haramu kwa nukuu ya Qur'an, Hadith mutawatir na kongamano la Waislamu wote, tangu siku za Mtume (s.a.w.) mpaka leo. Bali uharamu wake hauhitaji dalili, kwa sababu ni katika mambo yaliyo wazi; kama vile wajibu wa Swala na uharamu wa zina. Kwa sababu hiyo ndipo mafaqihi wakahukumu kwamba mwenye kukanusha uharamu wa riba, basi ni kafiri, kwa vile amekanusha dharura ya dini iliyothibiti. #NurdinKishkiRibaniHaramu #UharamuwaRiba #riba #NurdinKishkiUharamuwaRiba #ribaniharamu Kama ilivyo haramu kuchukua riba, pia ni haramu kuitoa. Hadith ya Mtume inasema: "Ameilaani Mwenyezi Mungu riba, mwenye kuila, mwenye kuuza, mwenye kununua, mwandishi wake na shahidi wake."

▶︎
KHATARI YA KULA RIBA | خطورة أكل الربا

▶︎
Uchawi Na Hukumu Yake Katika Uislamu

▶︎
BIDAA MBAYA NA BIDAA NZURI, HUKUMU YA SAUTI YA MWANAMKE, HUKUMU YA NADHIRI || SOMO LA 09 ||

▶︎
KISA CHA BIBI MWENYE KUJIBU MASWALI KWA QUR AN

▶︎
Je kaburini kuna adhabu?/Sheikh Abdul Hamid Yusuf

▶︎
#Sheikh nurdin kishki asimulia kilichomkuta

▶︎
WAKATI UNAOFAA/USOFAA KUINUA MIKONO WAKATI WA KUOMBA DUA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD

▶︎
EXCLUSIVE; SHEIKH KISHK AFUNGUKA HISTORIA YAKE YA DAAWA: SEHEMU YA KWANZA

▶︎
Madhara Ya Ulimi Part 1

▶︎
21: Kitabu Al-Kabair: Muendelezo wa Dhambi ya Uzinifu — الكبائر للإمام الذهبي | Sheikh Ilyasaa Juma

▶︎
IJUE DHAMBI NZITO KABISA KULIKO HATA RIBA.SHEIKH KISHK

▶︎
Kutolewa Roho Kwa Mtu Muovu Na Kafiri Sehem ya kwanza | Sheikh Nassoro Bachu

▶︎
HII NDIO ADHABU YA ANAE KULA RIBA | SHEIKH OTHMAN KHAMISI

▶︎
Sheikh Hamza Mansoor Khutba ya Ijumaa Mada Uharamu wa kula Riba By Ahmed Ahlusuna TV Mwanza Tanzania

▶︎
Sheikh Nurdin KISHKI - OGOPENI DUNIA NA WAOGOPENI WANAWAKE

▶︎
ALAMA AROBAINI ZA WANAFIKI SEHEMU YA KWANZA . SHEIKH KISHK

▶︎
HUKUMU YA RIBA YA MIKOPO ~ MKOPO WA MUDA WA MAONGEZI ,JE NI DHAMBI-SHEIKH SAMIR SADIQ

▶︎
IJUE DHAMBI NZITO KABISA KULIKO HATA RIBA // SHEIKH KISHKI

▶︎
Sheikh Nurdin KIshki - Visa vitano vya watu wema waliopita

▶︎
