MAKAMBA MLIPUA LISSU BUNGENI, KUZUIA UCHAGUZI NI UHAINI, "NAUNGANA NA G55, NITAGOMBEA.....
Mbunge wa Viti Maalumu, Salome Makamba amesema kauli zinazotolewa na viongozi wa Chadema kuhusu kuzuia uchaguzi, ni dalili za kushindwa huku akifananisha na watu walioweka mpira kwapani. Makamba ametoa kauli hiyo leo Alhamisi April 10, 2025 bungeni wakati akichangia Hotuba ya Waziri Mkuu kwa Makadilio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2025/26 ambayo yaliwasilishwa na Waziri Kassim Majaliwa jana. Makamba ni miongoni mwa wabunge 19 wa Chadema ambao wamekuwa na mgogoro ndani ya chama chao baada ya kudaiwa kuwa walijipeleka na kula kiapo bila ruhusa ya chama hicho. Mbunge huyo amesema hakuna mwenye uwezo wa kuuzuia uchaguzi na kwamba anaungana na wanachama 55 wa Chadema waliosema lazima uchaguzi ufanyike (maarufu G55).

▶︎
🔴DAKIKA 45 NA MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA JOHN HECHE : APRILI 07, 2025.

▶︎
Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

▶︎
#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

▶︎
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

▶︎
MSUKUMA AONGEA KWA HASIRA BUNGENI "Unanisikiliza au unachart, Huu ni utapeli mnataka mtuchonganishe"

▶︎
CHADEMA YAMWANGUKIA RAIS SAMIA KESI YA TUNDU LISSU

▶︎
KIMEUMANAAAAAAA!!!!!..Lissu ALETA Fujo TENAAAA....!!!

▶︎
MAAJABU: MBUNGE WA CCM BILA UOGA ATAJA 'NO REFORMS NO ELECTION YA CHADEMA' BUNGENI...

▶︎
"SIMUUNGI MKONO LISSU NA CHADEMA, UWEZO WA KURUDI BUNGENI NINAO" SALOME MAKAMBA

▶︎
HII NDIO KAULI YA TUNDU LISSU BAADA YA KUSOMEWA SHTAKA LA UHAINI

▶︎
“You’ve Lost Respect” Afenyo & NPP Gurus Storm Kumasi: Fire Ken Agyapong Over Bawumia & NPP Attacks-

▶︎
CHADEMA WAKATAA ULINZI WA POLISI WAKISEMA HAWATAKI KULIDWA' MULIRO ATIA NENO

▶︎
MBUNGE CHADEMA ALIAMSHA KUHUSU SUALA LA KUZUIA UCHAGUZI

▶︎
Bishop Bagonza: Lissu's arrest is a 4R sign that Samia is under attack, reminds us of Amos' article.

▶︎
‹‹ብልጽግና ፋኖን በፍጹም ማጥፋት አይችልም…›› | ‹‹መንግስት ፋኖን መናቅ የለበትም ካልሆነ..›› |ፖለቲከኛው ስለ ፋኖ እና ጽምዶ ዘረገፉት| Ethiopia

▶︎
Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

▶︎
Samia AMCHANA "Tundu Lissu" UKWELI Bila KUKWEPESHA!

▶︎
MASHTAKA YA TUNDU LISSU HAYA HAPA, AKOSA DHAMANA, WAKILI AFUNGUKA “NI UHAINI”

▶︎
NUSRAT HANJE ALIYEKUA MJUMBE WA KAMATI KUU CHADEMA AMLIPUA TUNDU LISSU, HANA UWEZO KUZUIA UCHAGUZI

▶︎
