JE INAFAA KUKUSANYA SWALA - Adhuhuri na Alasiri - Magharibi na Isha Kisha Alfajiri

Je nyakati za swala ni zipi? Zimepangilika vipi? Je ikiwa mtu atamaliza tu swala ya adhuhuri je anaweza muda huo kuswali swala ya Alasiri - na akafanya hivyo kwa Isha baada ya magharibi? Katika muhadhara huu sheikh anaelezea. . Subscribe to our channel on the following link https://www.youtube.com/@Asadiqmedia?... #asadiqmedia