Kikundi cha Wabondo Sembe Safi kutoka Ujiji-Kigoma

Hii ni ngoma ya Abelela au Nkongaaya ya kabila la Wabende kutoka mkoa wa Kigoma Kikundi hiki kinashiriki Tamasha la Urithi 2019 #urithifestival2019 #UrithiHeritageFestival