BARIADI DC YAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 39.5
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, leo Februari 06, 2026 limepitisha Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027 Jumla Tsh. 39,545,225,000 ambapo makadirio ya makusanyo ya mapato ya ndani Tsh. 3,164,032,000 ikiwa ni ongezeko la takribani shilingi Milioni 245.6 ya Bajeti ya makusanyo ya ndani ya mwaka 2025/2026. Aidha katika Mwaka wa fedha 2026/2027 fedha inayotarajia kupokelewa kwaajili ya Miradi ya Maendeleo imekadiriwa kuwa Tsh. 9,453,263,000 na fedha ya Ruzuku ya Matumizi ya Kawaida imekadiriwa kuwa Tsh. 1,610,386,000. Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi Mhe. Mayala Shiminji amesisitiza udhibiti wa vyanzo mbalimbali vya mapato ili makusanyo hayo yaweze kuhudumia mahitaji mbalimbali ya Halmashauri ikiwemo miradi ya maendeleo.

ATHARI ZA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU ZAPUNGUA BARIADI DC

MAHAFALI YA KWANZA SIMIYU GIRLS

MADIWANI WAHIMIZWA KUSHIRIKI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

🔴#Live: BARIADI KIMENUKA! MAKONDA AAMBIWA WATU WANAKUNYWA MAJI ya MTARO -"WALISEMA TUFUATE KWAKE"...

TUMEONYESHWA BARIADI/SIMIYU PANAVYOZIDI KUBADILIKA

SIPSEA WAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA 2026

WAGANGA WA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA WASOGEZEWA HUDUMA YA USAJILI JIRANI BARIADI DC

Mkuu wa wilaya ya Bariadi atoa onyo la mwisho mgogoro wa mgodi wa Rubaga Dutwa

FISI HAFUNGWI- TAWA YAHASA WAMAMA BARIADI

AJIRA MPYA BARIADI DC

MNADA WA DUTWA NA FURSA ZILIZOPO

MRADI WA UPANDAJI MITI PEMBEZONI MWA MABWAWA YA NGULYATI NA MATONGO WAENDELEA

RC MACHA

CHENGE AMSINDIKIZA MRITHI Wake KURUDISHA FOMU ya UBUNGE NEC - "TUSIMCHAFUE MITANDAONI"

NAMNA MALISHO YA MIFUGO YANAVYOWEZA LETA NEEMA KWA WAFUGAJI

🅻🅸🆅🅴 : CHAMA CHA CHAUMMA WANAUNGURUMA MUDA HUU BARIADI ..

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera

MKUSANYO YA MAPATO YA NDANI BARIADI DC YAFIKIA ASILIMIA 90

LONGIDO DC YAKUTANA NA WADAU KUWEKA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

