Fred Msungu || Siri ndani ya majira na nyakati ||

Mungu amechagua kujifunua kwa mwanadamu kupitia neno lake, lakini pia ndani ya majira na wakati ameweka siri kubwa ambayo inaamua hatma zetu. Hii ndio sababu ni vyema sana kuyajua majira na nyakati na kufanya kila jambo kulingana na majira ( wakati ) husika ili kupata matokeo yaliofichwa ndani ya hayo majira Kwenye somo hili utaona mambo muhimu kusuhu majira....namna ya kuyatambua na kuyaishi ,ili upate matokeo makubwa na kufikia ile hatma kubwa ya maisha yako