WAZIRI MASAUNI AHAMASISHA WANANCHI KUTUNZA MAZINGIRA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais ( Muungano na Mazingira ) Mhe. Mhandisi Hamad Masauni ameitaka jamii kushirikisha watoto na vijana katika shughuli zote za mazingira ili kuwajengea vizazi vijavyo utamaduni wa kulinda na kutunza mazingira.