Mbunge aliyeruka sarakasi akomaa na Wizara ya Ujenzi kutotimiza ahadi
Mbunge wa Mbulu Vijijini (CCM), Flatei Massay amedai kupigwa changa la macho baada ya ahadi alizopewa jimboni kwake kutotimizwa na Wizara ya Ujenzi huku akitumia kishkwambi kutoa ushahidi. Flatei amesema hayo leo Mei 29, 2024 wakati kuchangia katika hotuba ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, bungeni jijini Dodoma. Mbunge huyo aliwahi kuruka sarakasi bungeni Mei 23, 2022 ikiwa ni msisitizo wa kuonyesha msisitizo wa hoja yake kuwa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kutoa ahadi ya ujenzi wa barabara ya Mbulu hadi Haydom bila utekelezaji.

▶︎
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.

▶︎
"Tusileteane Ujinga Ujinga hapa, Kuanzia leo wewe sio Mkuu wa Idara" MAKONDA amtumbua Mkuu wa Idara

▶︎
HALIMA MDEE AMCHANA WAZIRI BASHUNGWA “EPUKA KU-COPY NA KU-PASTE HOTUBA”, MAMBO NI YALEYALE

▶︎
MBUNGE WA SARAKASI AIBUKA NA MPYA,ASHINDWA KUJIZUIA AMWAMBIA RAIS NILIKUA MTUNDU, SPIKA ALINIVUMILIA

▶︎
#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA HAMSINI NA NANE TAREHE 26 JUNI, 2026

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

▶︎
🔴#Live: BABA LEVO BILA UWOGA BUNGENII/AIBANA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI/AMLILIA WAZIRI GWAJIMA

▶︎
UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA 2024/25

▶︎
VURUGU BUNGENI MSUKUMA, MATIKO "JANABI AJIELEWE, ASHIKE BREKI, MAZIWA YAMELALA" POMBE KALI NI BALAA

▶︎
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

▶︎
MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"

▶︎
"Hizi ni ajali za Kisiasa" Mbunge Zacharia Essay ashindwa kujizuia atoa maneno haya

▶︎
Mwigulu aeleza sababu za kuchelewa ujenzi wa barabara

▶︎
#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA HAMSINI NA NANE TAREHE 26 JUNI, 2026

▶︎
MBUNGE KIJANA KULIKO WOTE BUNGENI AKASIRISHWA NA TRA, "WIZARA YA AFYA IMESHINDWA, TUWE WAZALENDO"

▶︎
PROF. KABUDI ASHUSHA NONDO NZITO "SERIKALI YA UJERUMANI IWAJIBIKE KWA MAMBO MBAYA YALIYOFANIKA"

▶︎
🔴LIVE: BASHUNGWA AKIWASILISHA MAKADILIO YA BAJETI 24/25 WIZARA YA UJENZI BUNGENI DODOMA

▶︎
BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"

▶︎
