Afya Na Magonjwa Ya Akili [1]

Kipindi hiki kinatambulisha maana ya "Afya ya Akili" na hali kadhilika maana ya "Magonjwa ya Akili" na tofauti zake. Aliyehojiwa ni Daktari Bingwa wa Afya na Magonjwa ya Akili, Dk. Praxeda Swai kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili.