MHASHAMU ASKOFU MKUU KINYAIYA AWAPATIA MASISTA WA MARIA ENEO LA KUJENGA SHULE YA WAVULANA DODOMA

ASKOFU MKUU wa Jimbo kuu katoliki la Dodoma ,mhashamu Beatusi Kinyaiya OFM Cap ametaka jamii kuacha tabi ya uharibifu wa mazingira kwa kujiepusha na vitendo vya ukataji miti na uchomaji misiti badala yake wayapende na kuyatunza. ASKOFU mkuu Kinyaiya ametoa Rai hiyo hivi karibuni Jimboni Dodoma katika Ibada ya misa takatifu iliyokuwa na lengo la kuzindua na kubariki eneo alilolitoa kwa ajili ya shule ya wavulana wanaotoka katika itakayosimamiwa na masista wa Shirika la Maria kutoka Uphilipino kwaajili ya kujenga shule ya Sekondari ya wavulana. Askofu mkuu Kinyaiya amesema kuwa sio jambo la busara kwa jamii kuharibu mazingira kwa kukata miti hovyo na kuchoma misitu badala yake wapende mazingira kwa kupanda miti,na pia ametaka masista hao wapande miti pale ujenzi wa shule utakapokamilika. Akizungumzia ujio wa masista hao, amesema kuwa awali masista hao walikutana na Askofu mkuu Rugambwa kijana mtanzania anayefanya kazi kwenye ubalozi nchini Uphilipino ambapo alifurahishwa na matendo mema ya masista hao walijenga shule nchini hapo, kwaajili ya wavulana na wasichana wanaoishi katika mazingira magumu. Kutokana na hali hiyo aliwaalika waje nchini Tanzania kwaajili ya kujenga shule ambapo wakafanikiwa kufanya hivyo Wilayani Kisarawe mkoani Pwani. Mhashamu Askofu Kinyaiya ameeleza kuwa aliwasiliana na masista hao ambao aliwakaribisha Jimboni Dodoma ili aweze kuwapatia eneo la Kikombo kwa lengo la kujenga shule Ya wavulana wanaoishi katika mazingira magumu ambayo itaitwa St.Mery Boys Town Complex. Askofu mkuu Kinyaiya amewashukuru masista hao kwa kufika Dodoma na kuja kufanya utume na kueleza kuwa Jimbo litakuwa nao bega kwa bega katika kuifanya kazi ya Mungu.

ASANTE YESU - Shirika la masista wabenediktini wa Afrika Ndanda
▶︎

ASANTE YESU - Shirika la masista wabenediktini wa Afrika Ndanda

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

MAISHA ya UTAWA bwana MTU anaishi Kama MBINGUNI, Wasichana MLIOITWA jiungeni HUKU, hadi RAHA
▶︎

MAISHA ya UTAWA bwana MTU anaishi Kama MBINGUNI, Wasichana MLIOITWA jiungeni HUKU, hadi RAHA

#KISHINDO CHA WAWATA: KANISA KUU DODOMA WAKABIDHI SANAMU YA BIKIRA MARIA PAROKIA YA MBUYUNI
▶︎

#KISHINDO CHA WAWATA: KANISA KUU DODOMA WAKABIDHI SANAMU YA BIKIRA MARIA PAROKIA YA MBUYUNI

#MISA TAKATIFU: JUBILEI YA MIAKA 90 YA KUZALIWA MAMA WA PAD.CHRISANT MGANGA NA UTOAJI WA KIPAIMARA
▶︎

#MISA TAKATIFU: JUBILEI YA MIAKA 90 YA KUZALIWA MAMA WA PAD.CHRISANT MGANGA NA UTOAJI WA KIPAIMARA

MTWARA KUCHERE Shirika la Masista Mkombozi
▶︎

MTWARA KUCHERE Shirika la Masista Mkombozi

Mix the chickpeas and eggs! I learned this trick in a fancy restaurant!
▶︎

Mix the chickpeas and eggs! I learned this trick in a fancy restaurant!

#NK'UHUNGU DODOMA: SHANGWE ZA WAWATA  MAPOKEZI YA SANAMU YA  BIKIRA MARIA PAROKIA YA MT.GEMMA
▶︎

#NK'UHUNGU DODOMA: SHANGWE ZA WAWATA MAPOKEZI YA SANAMU YA BIKIRA MARIA PAROKIA YA MT.GEMMA

From the Ghetto to the Priesthood: Born & Raised in the Diaspora
▶︎

From the Ghetto to the Priesthood: Born & Raised in the Diaspora

When Animals Surprise Photographers in the Sweetest Way! 😍
▶︎

When Animals Surprise Photographers in the Sweetest Way! 😍

WAJIBU NA UTUME WA KATEKISTA, NA PD. JOSEPH K. MAZIKU. HIJA YA MAKATEKISTA JIMBO KUU TABORA 3/6/2026
▶︎

WAJIBU NA UTUME WA KATEKISTA, NA PD. JOSEPH K. MAZIKU. HIJA YA MAKATEKISTA JIMBO KUU TABORA 3/6/2026

#WALIMU WA KWAYA: HII MISA NI YA MTAKATIFU NANI? WAPE WANAKWAYA MAUA YAO SWASWA
▶︎

#WALIMU WA KWAYA: HII MISA NI YA MTAKATIFU NANI? WAPE WANAKWAYA MAUA YAO SWASWA

Homilia ya Mwadhama Protase Kard. RUGAMBWA katika Hija ya Makatekista 3/6/2026 Pahija Ifucha
▶︎

Homilia ya Mwadhama Protase Kard. RUGAMBWA katika Hija ya Makatekista 3/6/2026 Pahija Ifucha

The FULL VIDEO of Trump they didn’t want released
▶︎

The FULL VIDEO of Trump they didn’t want released

WELCOME TO THE INAUGURATION OF OUR ST. GEMMA GALGANI DEANERY IN DODOMA - AIRPORT PARISH PRIEST FR...
▶︎

WELCOME TO THE INAUGURATION OF OUR ST. GEMMA GALGANI DEANERY IN DODOMA - AIRPORT PARISH PRIEST FR...

Zifahamu hatua za Kufikia Utawa katika  Shirika la Bikira Maria Imakulata (Mkingiwa Dhambi ya Asili)
▶︎

Zifahamu hatua za Kufikia Utawa katika Shirika la Bikira Maria Imakulata (Mkingiwa Dhambi ya Asili)

#COMMENT: WAPE WANAKWAYA MAUA YAO KWA NYIMBO HIZI ZA SADAKA, KWAYA YA KRISTO MFALME SWASWA - DODOMA
▶︎

#COMMENT: WAPE WANAKWAYA MAUA YAO KWA NYIMBO HIZI ZA SADAKA, KWAYA YA KRISTO MFALME SWASWA - DODOMA

Tazama Maaskofu Walivyowasili Kanisa Kuu Morogoro Kushuhudia Tamasha Kubwa la Kwaya Dekania Zote 8
▶︎

Tazama Maaskofu Walivyowasili Kanisa Kuu Morogoro Kushuhudia Tamasha Kubwa la Kwaya Dekania Zote 8

ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YA JUBILEI YA MIAKA 50 YA PAROKIA YA MT.JOSEPH MFANYAKAZI HOMBOLO .
▶︎

ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YA JUBILEI YA MIAKA 50 YA PAROKIA YA MT.JOSEPH MFANYAKAZI HOMBOLO .

My Golden Retriever Heals a Terrified Rescue Kitten in Just 3 Meetings!
▶︎

My Golden Retriever Heals a Terrified Rescue Kitten in Just 3 Meetings!